Are u corrupted?!Tuseme ukweli mzungu akiongea simuelewi
ila ukiniekea subs Ntakwambia mpaka alipokua na kigugumizi
Tuseme ukweli mzungu akiongea simuelewi
ila ukiniekea subs Ntakwambia mpaka alipokua na kigugumizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Are u corrupted?!
"Do you love corruption"
Friidomu ovu woti?!
wi hevu no yumani fesi kwa mafisadi [emoji23] [emoji23]
asantemkuu[emoji23] [emoji23]
Hapo nimekuwekea ya Kiswahili na Kiingereza. Ila hiyo ya Kiingereza ndo nzuri zaidi maana kuna hadi manusura wanasimulia ilivyokua
Haki tupo wengi na ndio maana huwa siangalii movie, bila subtitles naachwaTuseme ukweli mzungu akiongea simuelewi
ila ukiniekea subs Ntakwambia mpaka alipokua na kigugumizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haki tupo wengi na ndio maana huwa siangalii movie, bila subtitles naachwa
bila subs haiwezekaniHaki tupo wengi na ndio maana huwa siangalii movie, bila subtitles naachwa
salama mkuu ile mionzi imepungua mno,ipo kwa kiasi kidogo mno.kama ingekuwa si salama hata watu wasingejenga maeneo husika na hata watalii wasingeenda kutalii,nani angependa kwenda hlf arudi nchini mwake na kansa au magonjwa tele!kwahiyo mkuu
maeneo ya Hiroshima na Nagasaki bado sio salama kuishi au kutembelea?
Daah ,lakini miti inaota?salama mkuu ile mionzi imepungua mno,ipo kwa kiasi kidogo mno.kama ingekuwa si salama hata watu wasingejenga maeneo husika na hata watalii wasingeenda kutalii,nani angependa kwenda hlf arudi nchini mwake na kansa au magonjwa tele!
chengine kilichosaidia madhara kutokuwa makubwa zaidi ni kwamba mabomu hayo yalikuwa yanalipukia angani,mita kadhaa kutoka ardhini hivyo kufanya baadhi ya mionzi kupeperushwa na upepo na ardhi kutokupata sana uchafu wa kikemikali.
mbali na hayo niseme tu ngozi nyeupe ni nyeupe tu.. kwa namna wajapan walivyorudishwa nyuma kwa mabomu yale lkn bado walipambana na hali yao na wakaijenga miji yao vizuri zaidi. waafrika tunatakiwa tujitafakari mno,nikisema system ya kiuongozi ya kiafrika ni dhaifu sana sintakuwa nakosea!.
hebu fikiri kama japan asingepata hayo majanga angekuwa wapi kiuchumi..? ila sisi.? ha ha ha afrika we are nothing!!.
miti ipo mkuu tafta picha za hiroshima na nagasaki utaonaDaah ,lakini miti inaota?
Hahaa.. umetupatasawa Mkuu
ila ukiuliza watu wanakupita,bora niandike kichwa cha habari cha kuvutia
Hahaha.. Kilio cha kusaga mapengo?.. Hahaha.. You made my day!.. HahahahaMbali na hivyo japan bado aliendelea kuwashwawashwa! nakutuma majeshi yake mbele kuendeleza WW2!.
U.S.A nayo haikuchoka,bado ilitaka kuionyesha dunia kuwa amejidhatiti vilivyo ktk anga za mapigano!.
siku tatu mbele yani tarehe 9 agosti 1945 mji wa nagasaki tena uliangamizwa kwa bomu lakinyukilia lililodondoshwa na Bomber B-29,Ambapo takribani watu 40000 walipoteza maisha..
kiujumla inakadiliwa kuwa takribani watu 129000 walipoteza maisha kutokana na mabomu hayo,hivyo kufuatia kipigo hicho cha mbwa mwitu,japan ili sarenda nakurudisha wanajeshi nyumbani kulikokuwa na kilio cha kusaga mapengo!!.
kwanini hiroshima na nagasaki..?
hii ndio ilikuwa miji iliyokuwa na uzalishaji na miundombinu kadhawakadha,hivyo watesi wao walionelea ni vyema kuwaharibia miji hiyo ili kukosa nguvu yakiuchumi hivyo wasingeweza kuendelea na vita hiyo.
Lengo kuu ilikuwa ni kustopisha WW2.
madhara yaliyoletwa na mabomu hayo ni pamoja na..
vifo,kuharibiwa kwa miundombinu mbali na hayo najua unashauku ya kujua zile radiation... naja.
Hamtabirki nyie[emoji23]Hahaa.. umetupata
kwahiyo madhara yameisha kwa 95%miti ipo mkuu tafta picha za hiroshima na nagasaki utaona
Hata marehem sheikh yahya alitushindwa..[emoji23]Hamtabirki nyie[emoji23]
ndo hivyo mkuu,sasa vitani umepigwa huna mguu,jicho n.k unarudi nyumbani familia yako chali kwa mabomu,mke huna,watoto huna,mali huna,mguu huna! hicho ndo kilio cha kusaga mapengo!.😀Hahaha.. Kilio cha kusaga mapengo?.. Hahaha.. You made my day!.. Hahahaha
Inaota vizur tu mkuuDaah ,lakini miti inaota?
Kiinglishi tabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuseme ukweli mzungu akiongea simuelewi
ila ukiniekea subs Ntakwambia mpaka alipokua na kigugumizi