Fahamu kuhusu HIROSHIMA & NAGASAKI

Tuseme ukweli mzungu akiongea simuelewi
ila ukiniekea subs Ntakwambia mpaka alipokua na kigugumizi
Are u corrupted?!
"Do you love corruption"
Friidomu ovu woti?!
wi hevu no yumani fesi kwa mafisadi [emoji23] [emoji23]
 
Tuseme ukweli mzungu akiongea simuelewi
ila ukiniekea subs Ntakwambia mpaka alipokua na kigugumizi


Hapo nimekuwekea ya Kiswahili na Kiingereza. Ila hiyo ya Kiingereza ndo nzuri zaidi maana kuna hadi manusura wanasimulia ilivyokua
 
Are u corrupted?!
"Do you love corruption"
Friidomu ovu woti?!
wi hevu no yumani fesi kwa mafisadi [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Point to note ni kwamba, Uranium iliyotumika kutengenezea hilo bomu LA nuclear ilitoka Africa, Congo jimbo la Katanga kwenye mgodi ujulikanao Shinkolombwe
 
kwahiyo mkuu
maeneo ya Hiroshima na Nagasaki bado sio salama kuishi au kutembelea?
salama mkuu ile mionzi imepungua mno,ipo kwa kiasi kidogo mno.kama ingekuwa si salama hata watu wasingejenga maeneo husika na hata watalii wasingeenda kutalii,nani angependa kwenda hlf arudi nchini mwake na kansa au magonjwa tele!
chengine kilichosaidia madhara kutokuwa makubwa zaidi ni kwamba mabomu hayo yalikuwa yanalipukia angani,mita kadhaa kutoka ardhini hivyo kufanya baadhi ya mionzi kupeperushwa na upepo na ardhi kutokupata sana uchafu wa kikemikali.

mbali na hayo niseme tu ngozi nyeupe ni nyeupe tu.. kwa namna wajapan walivyorudishwa nyuma kwa mabomu yale lkn bado walipambana na hali yao na wakaijenga miji yao vizuri zaidi. waafrika tunatakiwa tujitafakari mno,nikisema system ya kiuongozi ya kiafrika ni dhaifu sana sintakuwa nakosea!.
hebu fikiri kama japan asingepata hayo majanga angekuwa wapi kiuchumi..? ila sisi.? ha ha ha afrika we are nothing!!.
 
Daah ,lakini miti inaota?
 
Hahaha.. Kilio cha kusaga mapengo?.. Hahaha.. You made my day!.. Hahahaha
 
Hahaha.. Kilio cha kusaga mapengo?.. Hahaha.. You made my day!.. Hahahaha
ndo hivyo mkuu,sasa vitani umepigwa huna mguu,jicho n.k unarudi nyumbani familia yako chali kwa mabomu,mke huna,watoto huna,mali huna,mguu huna! hicho ndo kilio cha kusaga mapengo!.😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…