Fahamu kuhusu HIROSHIMA & NAGASAKI

Fahamu kuhusu HIROSHIMA & NAGASAKI

Hata mie kanikumbusha mbali,kuna mchangiaji hapo kaelezea kuhusu mkopo wa silaha.
Ngoja nitiririke na mimi navyoelewa[emoji3][emoji3]
Mmarekani ambae katika vita ya kwanza ya dunia hakushiriki kabisa,hivyo akaanza kujikita katika utengenezaji wa silaha mbalimbali baada ya vita ya kwanza ya dunia.
Baada ha kuona chokochoko zinaanza za kupelekea vita ya pili,mmarekani alizidisha production ya silaha,na baada ya vita kuanza akaanza kutoa mikopo kwa wale waliounga ushirika na mbritish,lakini pia alitoa mikopo ya chakula baada ya nchi zao kupigwa na kuharibiwa vibaya kwa sababu ya WW2.
So,aliamua amchape mjapan baada ya kuona wale aliowakopesha wakifirigiswa moja kwa moja mikopo haitorejeshwa na atapata pigo kubwa kiuchumi na kuanguka kwa sababu ali invest pesa ndefu katika production ya silaha na vyakula kwa ajili ya nchi zinazo pigana WW2.
Na baada ya kuwanyamazisha Japan ambao walikuwa wanakuja kwa kasi katika vita ile mtaona hata washirika kama mjerumani waliishiwa nguvu na ku surrender.

WW2 na bomu hili lilichangia kwa kiasi kikubwa kukua kwa uchumi wa USA na hili likapelekea taifa hili kuwa kubwa lenye uchumi mkubwa na ku fall kwa great british as a leading nation.
Niko na maswali mengi sana kuhusu haya mambo..

hivi mkuu Ni hiroshima na nagasaki tu ndio viliathiriwa au mpaka na maeneo ya jirani kulifikiwa na athari endelevu kama kensa?
 
Niko na maswali mengi sana kuhusu haya mambo..

hivi mkuu Ni hiroshima na nagasaki tu ndio viliathiriwa au mpaka na maeneo ya jirani kulifikiwa na athari endelevu kama kensa?
Sio hiroshina na nagasaki peke yao..
Athari nasikia bado zipo according to the teachers particulary history. Sijawahi fuatilia katika mitandao now days
 
Sio hiroshina na nagasaki peke yao..
Athari nasikia bado zipo according to the teachers particulary history. Sijawahi fuatilia katika mitandao now days
athari bado zipo niliona documentary flani ya wajapan wakitembelea maeneo ya karibu na mlipuko walikuwa wanatembea na radiation detectors ili kutambua kiasi cha miale ya nyuklia iko kiasi gani kama iko juu hawafiki yale maeneo na hata maji hawagusi

pili fuatilia ile milipuko ya vinu vya kufulia umeme japani zipo documentary zake
 
Ile history ni essence ya kuwa na mawazo ya "wrong turn" movies, au zombies, kwamba what if wale deformed wanaevolve kuwa against human race........ Just thinking without alcohol
na ile movie ya "Hills have eyes" nimeona wameelezea madhara ya mionzi ya nyuklia.
 
athari bado zipo niliona documentary flani ya wajapan wakitembelea maeneo ya karibu na mlipuko walikuwa wanatembea na radiation detectors ili kutambua kiasi cha miale ya nyuklia iko kiasi gani kama iko juu hawafiki yale maeneo na hata maji hawagusi

pili fuatilia ile milipuko ya vinu vya kufulia umeme japani zipo documentary zake
mkuu kama ukiziona ambatanisha hapa basi
 
PC03.jpg

moja kati ya madhara makubwa iliyokumbana nayo japan ni pamoja na madhara ya mionzi iliyosababishwa na mabomu hayo,kuna madhara ya muda mfupi na muda mrefu.. hiyo picha hapo juu hayo ni madhara ya muda mfupi,kuna ya muda mrefu ambapo yamesababisha kansa vizazi kwa vizazi,matatizo ya akili(IQ ndogo,mtoto kuwa na ubongo mdogo),haya mabomu si ya mchezomchezo kwani huaribu hadi system ya genetic!,mtoto anazaliwa hana kiungo fulani au kipo eneo lisilo husika n.k n.k
ndio maana ha mmarekani na yule mr kiduku wamebaki kutunishiana misuli tu,maana wanaelewa yale mabomu ni ushetani wa kiwango cha tope!.
imewachukua miaka mingi sana wajapan ku cover kiafya mfano mpk kufikia miaka ya 90 kansa zilizosababishwa na nyuklia bado zilikuwa zimebaki kama asilimia 9%.
 
Hata mie kanikumbusha mbali,kuna mchangiaji hapo kaelezea kuhusu mkopo wa silaha.
Ngoja nitiririke na mimi navyoelewa[emoji3][emoji3]
Mmarekani ambae katika vita ya kwanza ya dunia hakushiriki kabisa,hivyo akaanza kujikita katika utengenezaji wa silaha mbalimbali baada ya vita ya kwanza ya dunia.
Baada ha kuona chokochoko zinaanza za kupelekea vita ya pili,mmarekani alizidisha production ya silaha,na baada ya vita kuanza akaanza kutoa mikopo kwa wale waliounga ushirika na mbritish,lakini pia alitoa mikopo ya chakula baada ya nchi zao kupigwa na kuharibiwa vibaya kwa sababu ya WW2.
So,aliamua amchape mjapan baada ya kuona wale aliowakopesha wakifirigiswa moja kwa moja mikopo haitorejeshwa na atapata pigo kubwa kiuchumi na kuanguka kwa sababu ali invest pesa ndefu katika production ya silaha na vyakula kwa ajili ya nchi zinazo pigana WW2.
Na baada ya kuwanyamazisha Japan ambao walikuwa wanakuja kwa kasi katika vita ile mtaona hata washirika kama mjerumani waliishiwa nguvu na ku surrender.

WW2 na bomu hili lilichangia kwa kiasi kikubwa kukua kwa uchumi wa USA na hili likapelekea taifa hili kuwa kubwa lenye uchumi mkubwa na ku fall kwa great british as a leading nation.

You have earned my respect madam.

I wish.
 
Fortleza choko mm hua situmii mapunga Shogoroti ww katafute mabwana huko mmu na Siasani mm natumia fresh papuchi sio dirty assss kama yako..

Ukirudia tena nikautia dole choko ww
wewe ni kilaza kweli. mtegemea cha ndugu. hufa masikiini
 
Endelea Mtaalam,
Nami eti nilisikia kuwa Bomu hilo liligeuza sehemu ya aridhi, udongo ukaenda chini miamba ikaja juu (upside down)
Sio kweli bomu la nyuklia haliigeuzi ardhi juu chini labda hydrogen bomb (if im not mistaken).
Bomu la Nyuklia linapotua/lipukia linachofanya ni linaenda kutengeneza umbo la mushroom(uyoga) angani then lile umbo duara ambayo ni heatwave inaporudi chini kwa kusambaa pande zote ndipo ile txt pendwa "imethibitishwa xxxx amepokea..." inapokamilika 😉..
NB: nilisoma sehemu, bomu la nyuklia likipigwa ukainua dole gumba kuelekea lilipopigwa, dole gumba likiwa kubwa kuliko hilo umbo(uyoga) then kuna asilimia kubwa upo radiation free zone, lakini dole likiwa dogo kuliko mlipuko(uyoga) sali tu!..
 
Sasa kama bomu la Nyuklia la miaka ya 1945 lilileta madhara hayo, vp Hydrogen la sasa ambalo inasemekana ni zaidi ya Nyuklia?
 
[emoji120] thank you sir,kanikumbusha mbali najihisi kurudi tena darasani.

You have good brain so far, kuyaandika haya kwa kutoa kichwani, kwa kutumia kumbukumbu si kitu kidogo. Wachache sana, most of us would have gone to Wikipedia.

Thanks
 
Back
Top Bottom