makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ndio.eti ni kweli marekan mpaka leo anamlipa fidia mjapani kwa sababu ya hilo bomu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.eti ni kweli marekan mpaka leo anamlipa fidia mjapani kwa sababu ya hilo bomu.
Yeah ManHapo unanikumbusha little boy na fat man
kwakweli[emoji23]Kiinglishi tabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Walitumia ndege iliyopewa jina la enola gay, jina la mamake rubani aliyepewa jukumu la kwenda kuangusha hilo bomu lililopewa jina la little boy(kijana mdogo). Kwenye mji wa Hiroshima. Baadae ndege hii ilitumika tena kuangusha bomu kwenye mji wa Nagasaki lililopewa jina la fat manWalitumia ndege kulishusha au waliingia kiujanja? Na siku ya tukio ilianza anzaje. Wajuvi wadadafue kidogo