Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

Mdingi wako si ndio mganga wangu kakudokoleza.nn umejuajeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Iliki ya kijani??!!, wewe ndiye mtu wa kwanza duniani kutaka iliki ya kijani.

Ushauri:- chukua mbegu za iliki tafuta shamba upande na kabla hazija komaa (bado zikiwa kijani) vuna.

Lakini ukitaka mkulima akulimie iliki ya kijani hiyo ni "uphill task", na hilo sharti la kupata utajiri kutoka kwa huyo mganga wako ni gumu.😁😁😁
 
Ndugi yangu acha ushamba iliki za kijani zipo na nyingi zao hutoka india ila nimesikia tanzania wameanza kulima na wao na kama hujii iliki kijani ina bei kubwa kushinda hii ya kawaida
 
Kwenye hekari moja unaweza kuzalisha kiasi gani?
 
Ku Kule Kagera naona wamekoma kulima baada ya kukosa soko.
 
Walimu tu soko kiko Mombasa na Commoro
Yahani nilikuwa huko takriban miezi 3 ilopita nikakuta hali hiyo, waliokuwa nazo wanazigawa bure, hadi wanywa gongo wanajiwekea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndugi yangu acha ushamba iliki za kijani zipo na nyingi zao hutoka india ila nimesikia tanzania wameanza kulima na wao na kama hujii iliki kijani ina bei kubwa kushinda hii ya kawaida


unaniita mshamba !!?,je, umeanza matusi?!πŸ€”πŸ€”
 
Sasa pm nakutumia namba yangu
Tubonge mm ntakulink kwa wakulima moja kwa moja hko usambara mountain's
Ambao hao wananikusanyiaga na mm

Usijali mm syo mchoyo wa connection

Ova
mkuu nisaidie na mimi kizuri kula na mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…