Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ni kuchambuliwa na kufanyiwa packaging tu mkuuDuh ko mzigo unaenda kuwa processed na packed au nn mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kuchambuliwa na kufanyiwa packaging tu mkuuDuh ko mzigo unaenda kuwa processed na packed au nn mkuu
Mzigo gani mkuuKama kichwa kinavyo jieleza hapo juu,wale wateja wa hiliki napenda kuwaambia iliki ipo ya kutosha na mwezi 8 mwaka huu itakuwa tayari kwa kuuzwa.
Hivyo basi kama unahitaji mzigo weka order mapema sababu wanao itaji mzigo niwengi.Kama unataka mzigo njoo ukiwa umejipanga utapokelewa bila shida.
Kwa wateja watakao chukua kuanzia kilo 200, watauziwa sh12,000 kwa kilo na ambao wanataka mzigo kuanzia kilo 50 ni sh 20,000.
Kwa maelezo zaidi piga 0746756229.
Kasema hilikiMzigo gani wewe mwana ccm wewe
Soma thread yote mkuu,shida yenu mnasoma jujuu ndo maana hamuelewi vitu vidogo.Mzigo gani wewe mwana ccm wewe
Ushaambiwa hiliki inapatikana kiongozi,kikubwa ni kufika eneo la tukio.hii sera ya Habari/uzi na Picha naona wengi hamjaielewa
😂 😂 😂 😂mwana ccm wewe
Soma thread yote mkuu,shida yenu mnasoma jujuu ndo maana hamuelewi vitu vidogo.
Kitu kingine mimi sina chama hapa bongo.
Ukiona hivi ujue hakuna wanaohitaji anavutia tu watu waamini ana wateja kibao kumbe wa kuwatafuta tu kwa mbinde kama hivo. Anyway hongera yake kwa kupambanaKama wanaohitaji ni wengi wauzie basi hao wengi mkuu
wrka picha wewe mtu afike eneo la tukio bila kuona kilichopo hukoUshaambiwa hiliki inapatikana kiongozi,kikubwa ni kufika eneo la tukio.
Ni wengi ila waliopo serious na biashara ni wachache ambao hawapo serious kama wewe ndo wengi.Kama wanaohitaji ni wengi wauzie basi hao wengi mkuu
lengo langu ni ku share fursa but you think in opposite.Ungekua na wateja wengi usinge post huku ungedeal na wateja wako iyo danganya toto yako tumeistukia
Sawa mkuu lkn debe bei gani nikajilipue hukoWatu washaanza kuvuna sahvi
Iliki mbichi ndy iko kwa wingi
Ila ni vizuri muende wenyewe huko
Mkajionee na kuzoea mazingira!
Ova
Dada sky debe bei gani huko niendeNi kuchambuliwa na kufanyiwa packaging tu mkuu
Mkuu haukurudi tena jamvini!