Fahamu kuhusu kusikilizwa kesi upande mmoja (exparte hearing), hukumu ya upande mmoja (exparte judgement), kesi za madai na kesi za jinai

Nyagawakelvin

Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
8
Reaction score
34
FAHAMU KUHUSU KUSIKILIZWA KESI UPANDE MMOJA (EXPARTE HEARING), HUKUMU YA UPANDE MMOJA (EXPARTE JUDGEMENT), KESI ZA MADAI NA KESI ZA JINAI.

INALETWA KWENU NAMI KELVIN EXZAUDI NYAGAWA, MWANASHERIA KUTOKA CHUO KIKUU MZUMBE MOROGORO

Kisheria,Nini maana ya "EX- PARTE" HEARING?
Nini maana ya "EX PARTE JUDGEMENT"?
Je, mshitakiwa anaweza akahukumiwa kifungo Gerezani na hukumu ikatolewa Mahakamani bila yeye kuwepo katika eneo hilo?

Order IX of Civil Procedure Code Cap. 33 R.E 2019 has it all together with Order VIII
 
Asante mkuu kwa maarifa
 
Kesi nyingi za uhalifu wa kivita kama zile za Rwanda, Liberia, Ivory Coast, n.k. huendeshwa kwa utaratibu huu kwa sababu sometimes ni vigumu kuwapata watuhumiwa. Wengine hujibadili hadi jinsia wasikamatwe.
 
Mkuu hongera sana kwa uzi mzuri pls endelea kutoa nyuzi/ threads kwa upande wa cross, recross, jinsi ya ku tender docs Mahakamani, referal procedures etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…