Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Kwa ninavyoona od inatakiwa iwe on mda wote kutapunguza ulaji wa mafuta anaebisha afanye kwa vitendo aendeshe gari od ikiwa on na afike hadi speed 60 halafu azime od aone gari inavyokua kua nzito na kupungua mwendo

Mkuu hapa ndio maana huweza kukuletea majanga kwenye gear box au engine

Sababu unakuwa umetoka namba tano na kurudi namba tatu hapo lazima gari ivume mlio mkubwa unaoweza kupasua engine (block) au gear box


Tambueni ya kwamba over drive ina maana gani wala msiumize vichwa kwa vitu vinavyojulikana
 
Od ikiwa on, inamaanisha gari itaweza kuingiza gea mpaka tano.na ikiwa off haitaingiza mpaka tano.hivyo dreva aangalie anataka kutumia eneo gani? Kwenye mlima au kwenye njia mbaya?
 
Od ikiwa on, inamaanisha gari itaweza kuingiza gea mpaka tano.na ikiwa off haitaingiza mpaka tano.hivyo dreva aangalie anataka kutumia eneo gani? Kwenye mlima au kwenye njia mbaya?

Umeeleza vyema kazi zake, tuambie taa ya OD ikiwaka inamaanisha nini na ikiwa imezimwa kwenye dashboard inamaanisha nini.
 
Umeeleza vyema kazi zake, tuambie taa ya OD ikiwaka inamaanisha nini na ikiwa imezimwa kwenye dashboard inamaanisha nini.

OD ikiwa off utaona dashboard taa imewaka na maandishi haya yatasomeka "o/drive is off" usipoona ikiwaka jua ipo ON
 
Well said, baada ya maelezo mazuri ulitakiwa kuwaambia wadau humu kuwa wakati OD inakuwa On taa kwenye dashboard inakuaje na wakati OD inakuwa Off taa kwenye dashboard inakuaje. Hilo ndilo limekuwa tatizo la wengi...

I concur with you ndugu,
That is OD ikiwa on kwenye dashboard inatakiwa taa isiwake,and vice versa is absolutely true!
 

mimi nilishawahi kutia od off nikiwa katika speed 100. Na ingine haikubuma.
 
Duuu, hii mada ilishazungumzwa na kujadiliwa humu mwaka jana mwanzoni, maadamu kila siku ni kujifunza si vibaya tena imerudi.
Wadau wengi wameeleza vizuri sana, ninachoona shida ni Lugha (English) iliyotumika na kutoeleweka kwa wengi na ubishi tu usio na tija na kukariri tuu.
Kwa Lugha rahisi kwa ufahamu wangu ni:
OD ON maana yake Over Drive imeruhusiwa kutumika na kwa dashboard huwa haioneshi chochote, kwa uzoefu wangu wakati huu gari huwa nyepesi na rpm huwa ya chini wakati speed ni kubwa na mafuta hutumika vizuri/kwa wastani mzuri.
OD OFF maana yake Over drive imesitishwa/hairuhusiwi kutumika na kwenye dash board taa itaonesha maandishi ya O/D OFF, kwa uzoefu wangu wakati huu gari huwa nzito na rpm huweza kuwa juu zaidi ila mwendo wa wastani, matumizi ya mafuta huwa makubwa.
ieleweke tunapoongelea hii OD, RPM, Speed na matumizi ya mafuta tunajikita kwenye mahusiano ya Engine na Gear box,
 
Ukitaka kuovertake weka on
Utaona maajabu yake
 

Ni sahihi kutumia OD wakati wa kupanda ama kushuka mlima?
 
Thanks mkuu. Naendesha gari ya manual gear lakini OD kwenye auto nilikuwa siijui inasaidia nini na wakati gani iwe on.
Kimbunga

thanks ....hivyo basi OD inafaa zaidi kwenye long distance drive? na je ina effect yeyote kwenye fuel consumption?
 
how to use overdrive

Most newer Toyota vehicles with automatic transmissions are equipped with an Overdrive Lockout Button on the gear selector. When you press this button, it locks you out of Overdrive, 4th gear, forcing the car into third gear. When pressed, you will usually see a light appear on the dashboard that says "O/D off." The button works as a toggle. Thus, pressing it once activates the O/D lockout. Pressing it a second time returns the transmission to its normal mode of operation. The button is useful for a number of purposes, but many forget that it is even there.


[h=2]Instructions[/h]
    • 1 Press the button when passing another car on the highway. When passing another vehicle in an automatic transmission car, it is sometimes difficult to get the car to accelerate fast enough. Try clicking the overdrive button. By forcing the car into third gear, your engine will gain more toque and thereby be better able to accelerate past the other car.


    • 2 Press the button when entering the expressway. As explained above, this will make it easier to efficiently accelerate up to cruising speed.




    • 3 Engage the button when exiting the expressway. Click the button just as you turn onto the exit ramp, and let the engine help slow you down. Brakes have a greater tendency to overheat when used at high speed. Using the O/D lockout button will help to slow you down to a lower speed, at which point you can use your brakes.


    • 4 Press the button when going up a long, shallow grade on the expressway. In such situation, sometimes the automatic transmission will fail to shift down soon enough, causing you to lose power. Engage the O/D lockout to force the car into thrid gear.


    • 5 Engage the O/D lockout button when going down a long hill to help keep you from gaining too much speed. If the hill is steep, you may even need to shift the car down into second gear with the shifter. This will


 
mimi nilishawahi kutia od off nikiwa katika speed 100. Na ingine haikubuma.

Siku nyingine jaribu ukiwa speed kati ya 130km/h hadi 160km/h halafu uje utupe mrejesho!!!
 
Hii kitu nimeifafanua mara kadhaa katika post yangu moja kuhusu tahadhari kwa wenye magari, ambayo imefanywa kuwa sticky post hapo juu. Kwa manufaa ya wengi nitaquote nilichosema kwenye thread;



 

wewe ndiyo umesema kweli mkuu,mimi niliposoma huu uzi kwa mara ya kwanza watu walinichanganya sana....lakini siku moja nilimpa lft rafiki yangu fulani na aliona taa ya O/E inawaka,alinifundisha matumizi sahihi juu ya hii kitu,kwa sasa nimeelewa...
 

Umenena vyema
 

Inawezekana wakati wa kurudi kulikuwa na factors zingine za ziada, pengine miinuko zaidi, au ulibeba mzigo zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…