Pindi uonapo kitaa cha overdrive kwenye dashboard ya gari yako, inamaanisha kuwa overdrive ipo off na pindi kitaa hicho kisipoonekana basi tambua kuwa overdrive ipo on.Sijaelewa....kisipoonekana ndio sawa?
Sijawahi kuona piki piki yenye OD mkuu.ivi pikipiki nazo zina hiyo overdrive..!?
Bado sijakuelewa mkuu, binafsi huwa napenda kuweka O/D off kwenye dashboard ikiwa nipo kwenye highway na safari ndefu au pindi ninavyotaka ku overtake gari ambayo nayo ipo speed. Naomba niambie kama nipo sahihi?
Aisee we jamaa unachekesha sana... mwalimu wako wa udereva aliikuwa kilaza. Badilika sasa, kinyume chake ndio jibu sahihiSijui kwenu na kwa mtoa mada mi navyo jua taa ikiwa imewaka kwenye dashboard Basi OD inakua on, na Kama usipo ona taa basi OD inakua off
Unapotosha.Aisee we jamaa unachekesha sana... mwalimu wako wa udereva aliikuwa kilaza. Badilika sasa, kinyume chake ndio jibu sahihi
Duh... kumbe mko wengi!Unapotosha.
Hata mimi sijaelewa. Hii issue kwa nini Toyota hawajatoa elimu inayoeleweka sijajua kwa kampuni zingine.Isipoonekana kwenye dashboard ile alama ndo umeeka overdrive?tueleweshane maana nahic cjaelewa bado
Mkuu,kwa ufafanuzi wa functionality,maelezo yako yako perfect kwa 100%, ukakasi ni muenekano je ni kweli ikiwa On pale Dash Board inakua haiwaki taa na ikiwa Off Dashboard inawaka taa na vice versa,hapa ndo darsa linatakiwa ili kupunguza msiconception,maana kwenye vigari vyetu hivi vya mtumba inakua kama kinyume cha maelezo yako.Nimesema overdrive ni kama gia ya ziada inayokupa mizunguko mingi ya driving shaft kwa mizunguko michache ya injini yako. Unapaswa kuitumia ukiwa unatembea mwendo mkubwa na kwenye highway huwa kwa kawaida unakuwa kwenye mwendo mkubwa. Faida zake utatumia mafuta kidogo, maana gari inakwenda kasi kwa mizunguko michache ya injini.
Pia nimesema. Unaweza kutumia OD ukiwa unataka kuipita gari nyingine, mathalani kwenye milima ambapo gari yako inakuwa imepunguza nguvu, hivyo unaweza kuiweka off (hapa unakuwa kama umerudisha namba 4) na injini itabadili kasi ya mzunguko.Hii ni kwa sababu overdrive (OD) ni gia katika mfumo wa gari ambayo huifanya gari kuwa katika spidi kubwa huku mzunguko wa injini ukiwa mdogo. Kumbuka kuondoa OD.
ukishamaliza matumizi yake. So uko sahihi mkuu.
Na mimi nimeelewa kama ulivyotoa mada wewe,ila kwa mtoa mada,labda kwa gari za kampuni za Europe,lakini kwa Toyota,dash board inatakiwa iwe clean,bila taa yoyote.Nadhani nitajitahidi kidogo kuweka sawa, hakuna tatizo na mtoa mada nataka kweka kila kitu urahisi kama nitaweza.
kwenye Dashbord ni muhimu kuhakikisha taa zote ziko off ndio gari iko normal ukiona taa on uje sio normal na OD isioneshe. sasa matumizi ni hivi.
katika mwendo wowote wa kawaida OD iwe off kwa maana taa dashbord iko off hapo ni normal driving.
ukiwa mfano unashuka mlima badala ya kutumia sana break ya gari unaweza kuweka mwendo mdogo halafu bonyeza OD taa itawaka utashuka taratibu kwa maana gear itakuwa haichange ni kama unashuka manual na gear 2 au 1. ukishuka tu katika barabara safi bonyeza OD na dashboad iwe imepotea ina maana gari itachange gear na kukimbia. sema gari za siku hizi za auto zinakuja na Manual gear pia S drive inafanya same job. Hope nimeelewa. jambo la kuzingatia ukiwa unaendesha Dashboad kuwe taa zote hakuna.
Sijui kwenu na kwa mtoa mada mi navyo jua taa ikiwa imewaka kwenye dashboard Basi OD inakua on, na Kama usipo ona taa basi OD inakua off
Mkuu hauna manual book ya gari yako mpaka uwalaumu Toyota? Naamini kabisa kinachokuchanganya ni ule mvumo wa gari basi unahisi iko kasi sana kumbe unachosha engine kwa kuilazimisha ikimbie wakati iko kwenye gia ndogoHata mimi sijaelewa. Hii issue kwa nini Toyota hawajatoa elimu inayoeleweka sijajua kwa kampuni zingine. Nianavyo mimi kwa hisia ya nguvu ya gari nyingi za kampuni ya Toyota niliyotumia,kukiwa dashboard iko empty bila taa gari inakua normal na speed inakua ya kawaida sana. Lakini niki engage na taa ikawaka,gari inakua na nguvu kubwa na inakua na kasi ya ajabu. Somo hili linatakiwa kurudiwa ili ukweli ujulikane,pengine nadharia ya mada husika hapo ni kwa magari ya Kampuni zisizokuwa Toyota,ila kwa Toyota,mada hii inaleta ukakasi.
Ni kweli mkuu,they need to change it,ina-confuse kidogo mwanzoni kabla hujazoea.Hapa sijui kwa nini walifikiri hivi, mtu unajua umezima kumbe ndio umewasha.
Bado nachanganyikiwa. Kwa maana unasema kwa mjini tuwe tunatumia pale taa ikiwa imewaka(kwa tafsiri unayonipa ni OFF) na tukiwa kwenye highway tuache dash board ikiwa haina taa(kwa tafsiri hii ni On,) je hii inaakisi uhalisia kweli kwenye gari za Toyota?Mkuu hauna manual book ya gari yako mpaka uwalaumu Toyota? Naamini kabisa kinachokuchanganya ni ule mvumo wa gari basi unahisi iko kasi sana kumbe unachosha engine kwa kuilazimisha ikimbie wakati iko kwenye gia ndogo
Uko sahihi yani inaenda kinyume nyume ukiona taa jua iko off usipoona taa iko onIsipoonekana kwenye dashboard ile alama ndo umeeka overdrive?tueleweshane maana nahic cjaelewa bado