Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Elewa maana ya OD/ OFF maana yake nini. Ndio maana mwanzo nilikuuliza kwanini tairi ikibast unatakiwa kuweka OD OFF?

Pia jaribu hata kugogo, yamkini nakosea lakini kwenye ku overtake haina ubishi .

Just gogo na ulete jibu
 
Elewa maana ya OD/ OFF maana yake nini. Ndio maana mwanzo nilikuuliza kwanini tairi ikibast unatakiwa kuweka OD OFF?

Pia jaribu hata kugogo, yamkini nakosea lakini kwenye ku overtake haina ubishi .

Just gogo na ulete jibu
Sasa Mkuu O/D si nmeshakuelezea hapo kwa maelezo marefu na ya kutosha. Ina maana hujanielewa au unakaza kichwa tu?

Unapo overtake unahitaji speed ama Torque?
 
Sorry nilikua sijasoma.. ngoja nisome.haa
Sasa Mkuu O/D si nmeshakuelezea hapo kwa maelezo marefu na ya kutosha. Ina maana hujanielewa au unakaza kichwa tu?

Unapo overtake unahitaji speed ama Torque?
 
Umeeleza vizuri umeacha tuu kipengere cha kwanini onapo overtake unatakiwa kuwela OD OFF? Haaaa
 
Umeeleza vizuri umeacha tuu kipengere cha kwanini onapo overtake unatakiwa kuwela OD OFF? Haaaa
Palikuwa hapajaulizwa swali bado!
Ila kifupi concept ni ile ile.

Inategemea una overtake eneo gani, je ni muinuko, tambarare ama mteremko. Sehemu ambayo utahitaji torque zima O/D kwa muda kisha engage gari itapata nguvu maradufu.
 
Gari yako ni 4 speed automatic au 5 speed automatic?
 
Habari Wadau

Kuna uzi nilishauona humu umeeleza maana na matumizi ya gia "OD" kwa kweli ule uzi sikuuelewa vizuri.

Hivyo naomba kuwauliza wenzangu wenye magari kuwa hivi ni sahihi kwenye mizunguko ya kawaida mjini Dereva kuweka "OD". Maana nimesikia wengine wakisema kuwa ukiweka, ulaji wa mafuta unakuwa mkubwa

Nawasilisha kwa maoni na ushauri.

Asanteni
 
Habari Wadau

Kuna uzi nilishauona humu umeeleza maana na matumizi ya gia "OD" kwa kweli ule uzi sikuuelewa vizuri...

Asilimia kubwa ya magari yanayotembea barabarani yanakuwa na Overdrive gear moja au zaidi. Na mara nyingi huwa zinakuwa ni zile gear za juu.

Overdrive ikiwa on engine itazunguka katika rpm ndogo hivyo kusave mafuta lakini pia itaiwezesha gari yako kudrive katika gear kubwa kadri iwezekanavyo...

Kuna baadhi ya magari Overdrive ikiwa Off zile gear za juu kabisa huwezi kuzipata.

Me nashauri tu ikae on.
 
Habari Wadau

Kuna uzi nilishauona humu umeeleza maana na matumizi ya gia "OD" kwa kweli ule uzi sikuuelewa vizuri..

Pia Overdrive inasaidia kupunguza vitu kusagika katika gearbox yako as kuna speed ukifika kuanzia 60 mpaka 70kph hivi gearbox huwa inafanya kitu kinaitwa lock up(direct drive between engine na gearbox) yaani gearbox na engine vinakuwa vinazunguka kama kitu kimoja na hivyo kupunguza kuisha kwa clutches.

Kama unaendesha kwenye speed ndogo unaweza kuiweka tu off ila kama unaendesha kwenye gear kubwa iwashe maana itakusaidia kupunguza matumizi ya mafuta na na kuipa gearbox yako maisha marefu.
 
Mkuu na wewe unaendesha auto? kwani wewe ni mlemavu? Gari manual bana.....
Ni wapi ulishawahi ambiwa au imeandikwa kuwa automatic transmission vehicles ni kwaajiri ya disabled people?!
 
Watu wanapata taabu na kitu kidogo sana.OD kuwa on ni sawa na kutumia gear namba 5 au 6 kwenye gari ya manual.Kwani kwenye gari ya manual ni wakati gani hutumia gear namba 5 au sita?Kuna watu hawajui kuwa hata gari ya manual ina over drive!!WTF!!
 
Nina Escudo yani nikiweka OD inakuwa nzito na inakimbia na kuchanganya haraka huwa mpaka naogopa, nashindwa kuelewa mnaposema ukifika ukitaka kukimbia zaidi inabidi uitoe ukifikia speed fulani.
Sasa gari inakuwa nzito halafu inakimbia haraka tena?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…