Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Elewa maana ya OD/ OFF maana yake nini. Ndio maana mwanzo nilikuuliza kwanini tairi ikibast unatakiwa kuweka OD OFF?

Pia jaribu hata kugogo, yamkini nakosea lakini kwenye ku overtake haina ubishi .

Just gogo na ulete jibu
Ku overtake huwezi zima overdrive mkuu! Huyu jamaa huenda hajui concept behind O/D!

If you need more torque then zima kidogo halafu washa, hii ni incase una overtake kwenye muinuko. Ila kama pako tambarare au mteremko we gandamiza mguu tu kama gari iko vizuri itaitika.
 
Elewa maana ya OD/ OFF maana yake nini. Ndio maana mwanzo nilikuuliza kwanini tairi ikibast unatakiwa kuweka OD OFF?

Pia jaribu hata kugogo, yamkini nakosea lakini kwenye ku overtake haina ubishi .

Just gogo na ulete jibu
Sasa Mkuu O/D si nmeshakuelezea hapo kwa maelezo marefu na ya kutosha. Ina maana hujanielewa au unakaza kichwa tu?

Unapo overtake unahitaji speed ama Torque?
 
Umeeleza vizuri umeacha tuu kipengere cha kwanini onapo overtake unatakiwa kuwela OD OFF? Haaaa
Mie sio kama sijui mkuu, ila mfumo wa gear katika gari umetengenezwa kwa kuzingatia mazingira tofauti ya uendeshaji.

Kuna mambo mawili!
1.Speed
2.Torque

Ili kuondoa engine strain katika maeneo ambayo nguvu kubwa ya kusogea inahitajika (torque) mfano vilimani,kwenye matope n.k dio wakaweka gia kubwa maana engine itatengeneza nguvu kirahisi zaidi ila kwa speed ndogo. 1-2-3 ndio gia zenye torque kubwa kuliko speed...
 
Umeeleza vizuri umeacha tuu kipengere cha kwanini onapo overtake unatakiwa kuwela OD OFF? Haaaa
Palikuwa hapajaulizwa swali bado!
Ila kifupi concept ni ile ile.

Inategemea una overtake eneo gani, je ni muinuko, tambarare ama mteremko. Sehemu ambayo utahitaji torque zima O/D kwa muda kisha engage gari itapata nguvu maradufu.
 
Sasa unasevuje mafuta wakati unatembelea gia 3 tu!

Kwangu gear ya tatu ni 33km/h to 53km/h. Gari inaanza kudai gia ya nne kuanzia 54km/h-73km/h. Kutoka 74km/h mpaka mwisho wa speed ni gear namba 5 tu!

Ukiweka OD OFF huwezi kuipata ile highest gear mkuu which is bad for fuel economy, rotation per minute itakuwa kubwa kuliko speed!

Mie huwa naizimaga na kuiwasha nikiwa speed ila nataka ku overtake. Gari inavuma inarudi gia ya chini kisha inakamata gia ya mbele inachomoka kama mkuki!
Gari yako ni 4 speed automatic au 5 speed automatic?
 
When to apply OD
20200613_151215.jpeg
 
Habari Wadau

Kuna uzi nilishauona humu umeeleza maana na matumizi ya gia "OD" kwa kweli ule uzi sikuuelewa vizuri.

Hivyo naomba kuwauliza wenzangu wenye magari kuwa hivi ni sahihi kwenye mizunguko ya kawaida mjini Dereva kuweka "OD". Maana nimesikia wengine wakisema kuwa ukiweka, ulaji wa mafuta unakuwa mkubwa

Nawasilisha kwa maoni na ushauri.

Asanteni
 
Habari Wadau

Kuna uzi nilishauona humu umeeleza maana na matumizi ya gia "OD" kwa kweli ule uzi sikuuelewa vizuri...

Asilimia kubwa ya magari yanayotembea barabarani yanakuwa na Overdrive gear moja au zaidi. Na mara nyingi huwa zinakuwa ni zile gear za juu.

Overdrive ikiwa on engine itazunguka katika rpm ndogo hivyo kusave mafuta lakini pia itaiwezesha gari yako kudrive katika gear kubwa kadri iwezekanavyo...

Kuna baadhi ya magari Overdrive ikiwa Off zile gear za juu kabisa huwezi kuzipata.

Me nashauri tu ikae on.
 
Habari Wadau

Kuna uzi nilishauona humu umeeleza maana na matumizi ya gia "OD" kwa kweli ule uzi sikuuelewa vizuri..

Pia Overdrive inasaidia kupunguza vitu kusagika katika gearbox yako as kuna speed ukifika kuanzia 60 mpaka 70kph hivi gearbox huwa inafanya kitu kinaitwa lock up(direct drive between engine na gearbox) yaani gearbox na engine vinakuwa vinazunguka kama kitu kimoja na hivyo kupunguza kuisha kwa clutches.

Kama unaendesha kwenye speed ndogo unaweza kuiweka tu off ila kama unaendesha kwenye gear kubwa iwashe maana itakusaidia kupunguza matumizi ya mafuta na na kuipa gearbox yako maisha marefu.
 
Mkuu na wewe unaendesha auto? kwani wewe ni mlemavu? Gari manual bana.....
Ni wapi ulishawahi ambiwa au imeandikwa kuwa automatic transmission vehicles ni kwaajiri ya disabled people?!
 
Watu wanapata taabu na kitu kidogo sana.OD kuwa on ni sawa na kutumia gear namba 5 au 6 kwenye gari ya manual.Kwani kwenye gari ya manual ni wakati gani hutumia gear namba 5 au sita?Kuna watu hawajui kuwa hata gari ya manual ina over drive!!WTF!!
 
Nina Escudo yani nikiweka OD inakuwa nzito na inakimbia na kuchanganya haraka huwa mpaka naogopa, nashindwa kuelewa mnaposema ukifika ukitaka kukimbia zaidi inabidi uitoe ukifikia speed fulani.
Sasa gari inakuwa nzito halafu inakimbia haraka tena?!
 
Back
Top Bottom