Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana...Natafuta mtu wa kunifundisha meditation jaman
Bro Rakims huyu anajua anachokiongea au anaongea ili afurahishe nafsi yake? watu kama hawa ndio wanaotukatisha tamaa an [emoji36] msaada wako mkuu kuhusu hiliPindi ninapoona mauza uza kama haya yanazidi kupamba moto, nabaki nikijisemea tu Rakims ulaumiwe huko uliko!
Nilifanya tahajudi ya pumzi
Nilifungua jicho la tatu ingawa halikuwa dhumuni langu
Mimi kweli ni mtu wa kuona vitu vya ajabu kweli? [emoji3064]
Jicho lifunguke pasi na mimi kuhitaji, nione yasiyoeleweka halafu mwisho wa siku nizinduke nijikute katikati ya watu[emoji3064]
Hivi mimi ni wa kuishi maisha mawili mawili kweli?[emoji3064]
Hivi mimi ni wa kupata OBE? Kuelea elea juu juu wakati ninapopatwa na usingizi?[emoji3064]
Hivi mimi ni wa ku undergo astral projection ya bila kuona mwili?[emoji3064]
Hivi mimi ni wa kupata lucid dreams za bila mpangilio?[emoji24]
Ubaya wa haya ma vitu, ukifahamu kimoja, utajikuta unatamani kujua yote! Na ukielewa yote, umekwisha!
Mimi ni mtu wa kuogopa ndani kweli?[emoji3064]
Hivi mimi ni mtu wa kutembea huku naelea elea![emoji24]
Meditation
Lucid dreaming
Astral projection
Sivihitaji tena katika maisha yangu, unaweza sahau kama kuna kuchakata mbususu!
Bora nichakate mbususu tu!!
Em Mshana Jr njoo useme kitu!
Nsiitaji kukuuliza zaidi 0717983320Cc Therealmike25 mbona unawaeleza tu faida za meditation na unasahau kuwaeleza kwa kina hasara zake? Hujui kuwa ukiwa na uwezo wa kuihisi na kuiskiliza pumzi yako kwa umakini unamuamsha mungu wa kike, Goddess? Ambaye yuko kwenye hiyo chakras inayounganisha mgongo kwa upande wa nyuma chini, sehemu za siri na nyayo za miguu? Mbona umekaa kimya ukashindwa kuwaeleza madhara watakayopata kama huyo Mungu wa kike ataamka? Mbona huwaelezi kuwa kuna kitu kinaitwa ulimwengu wa kiroho wenye vitu vya ajabu wataanza kuuona? Mkuu, waeleze kuhusu jicho la tatu, hiyo chakras iliyoko kwenye paji la uso!
Ubaya wa meditation ukiifanya, utakuta unatamani kufanya na yoga, na utakapoziunganisha zote, umekwisha!
Sikuona faida nyingine pasi na kusoma aura za watu tu! Hasara ni nyingi mno, mie sio mtu wa kunikutanisha na roho zilizokufa kitambo eti zizungumze na mimi!
Tena ngoja nitengeneze uzi niyaelezee haya yote kiundani zaidi!
Achana na hivi vitu kwa amani ya moyo wako:
•meditation
•yoga
•austral projection
•lucid dreaming technics
Na ushetani mwingine wa kujitizama kwenye vioo kiroho!