Fahamu kuhusu Scholarships za Postgraduate kwa Sub Sahara Africa

Fahamu kuhusu Scholarships za Postgraduate kwa Sub Sahara Africa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
London School of Hygiene wana Scholarships kwa watu wa Sub Sahara Africa kwa Masters in Public Health, Control in Infectious Diseases etc

Sifa:
• Uwe na first class or 2:1 in undergraduate.

• Kama ulisoma nje ya Uingereza uwe na English certificate mitihani unaufanya British Council

Masters ni one year full time na baada ya tuition fee unapewa £17,000 zinakuwa in division of 12 months.

Kizuri kula na mwenzio.
 
Back
Top Bottom