Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
AiseeeUmewahi kusikia uvimbe uitwao , uvimbe_jini, au kwa kingereza "monster_tumor"
hii ni aina ya uvimbe unaopatikana katika mji_wa_mayai_wa_mwanamke... pamoja na Ovary_and_fallopian_tube..
Inasemekana .Uvimbe huanza kama moja ya [HASHTAG]#yai[/HASHTAG] ambalo limeshindwa kufika katika mji wa uzazi_uterus
uvimbe huanza taratibu na huweza kukaa hapo miaka_na_miaka yaani uvimbe unakua..
Baada ya kipindi fulani uvimbe uanza kuweka dalili za kukomaa kama mfupa_wa_kichwa.. Na mwishowe huota_meno..
Uvimbe hutolewa kwa njia ya upasuaji., na hio ndio tiba yake
Picha hii hapa inaonyesha uvimbe huo ukiwa umeshatolewa kwa njia ya oparesheniView attachment 765840
Chanzo chake ni nini?Umewahi kusikia uvimbe uitwao , uvimbe_jini, au kwa kingereza "monster_tumor"
hii ni aina ya uvimbe unaopatikana katika mji_wa_mayai_wa_mwanamke... pamoja na Ovary_and_fallopian_tube..
Inasemekana .Uvimbe huanza kama moja ya [HASHTAG]#yai[/HASHTAG] ambalo limeshindwa kufika katika mji wa uzazi_uterus
uvimbe huanza taratibu na huweza kukaa hapo miaka_na_miaka yaani uvimbe unakua..
Baada ya kipindi fulani uvimbe uanza kuweka dalili za kukomaa kama mfupa_wa_kichwa.. Na mwishowe huota_meno..
Uvimbe hutolewa kwa njia ya upasuaji., na hio ndio tiba yake
Picha hii hapa inaonyesha uvimbe huo ukiwa umeshatolewa kwa njia ya oparesheniView attachment 765840