MkulimaAgriClinic
Member
- Jun 30, 2021
- 5
- 15
Kuku Wa kabila la Dong tao ambao wanatambulika kwa kuwa na miguu minene ndiyo kuku ghali zaidi duniani.Kuku hawa huuzwa kwa bei hadi kufikia dola za marekani 2000.
Wanapatikana kwa wingi nchini Vietnam. Awali kuku hawa, walitumika kama mapambo katika nyumba za kifalme, sasa hivi hutumika katika maonesho na michezo.
#MkulimaAgriClinic
#KilimoNiSayansi
Wanapatikana kwa wingi nchini Vietnam. Awali kuku hawa, walitumika kama mapambo katika nyumba za kifalme, sasa hivi hutumika katika maonesho na michezo.
#MkulimaAgriClinic
#KilimoNiSayansi