Fastercapital
Member
- Jul 25, 2019
- 62
- 215
Endelea kuwadanganyaHapo mkuu milion 100 inazid.
Unachotakiwa kwanza uwe na eneo tayari .
Kisha uandae milion 250
Kwa kituo kidogo na Cha kisasa hii unaweza kamilisha ujenzi.
Pia Kwa hili jibu linategemeana na mkoa utakao kuwepo.