Fahamu kwamba Hotuba ya Rais Samia Suluhu haikugusia chochote kuhusu Katiba Mpya wala Tume Huru ya uchaguzi

Fahamu kwamba Hotuba ya Rais Samia Suluhu haikugusia chochote kuhusu Katiba Mpya wala Tume Huru ya uchaguzi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni vema pia tukafahamu kwamba Wakati wa Bunge la Katiba , Mh Rais Samia ndiye aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge lile huku Mwenyekiti wa bunge akiwa Samuel Sitta .

Nimeanza na hili ili kuwaonyesha wadau kwamba Mh Rais anajua sana kuhusu mahitaji ya Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi kwenye nchi hii , huyu ndiye aliyekuwa msikilizaji msaidizi wa hoja zote za wadau wa Katiba Mpya ndani ya bunge lile , lakini cha ajabu ni kwamba Katika Hotuba yake bungeni hakugusia chochote kuhusu jambo hilo .

Hii si dalili njema .
 
Kuna wanaosema kukosekana kwa Chadema bungeni ni kuwa chama kimekufa. Kiuhalisia kukosekana kwa Chadema bungeni chama kumezaliwa upya.

1619219778950.png
 
Katoa ahadi kukutana na wadau vyama vya siasa agenda hizo mbili tume huru na katiba natumai ndio agenda muhimu.
 
Ni vema pia tukafahamu kwamba Wakati wa Bunge la Katiba , Mh Rais Samia ndiye aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge lile huku Mwenyekiti wa bunge akiwa Samuel Sitta .

Nimeanza na hili ili kuwaonyesha wadau kwamba Mh Rais anajua sana kuhusu mahitaji ya Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi kwenye nchi hii , huyu ndiye aliyekuwa msikilizaji msaidizi wa hoja zote za wadau wa Katiba Mpya ndani ya bunge lile , lakini cha ajabu ni kwamba Katika Hotuba yake bungeni hakugusia chochote kuhusu jambo hilo .

Hii si dalili njema .
HAIPO KWENYE ILANI YA CCM 2020-2025. HAPO NDIYO UJUE CCM NI ILELE, KUSHANGILIA KWENU KWA KUFA KWA MAGU, HAKUJABADILISHA CHOCHOTE. NGOJA MAMA AWAPIGE KWA NGE MKOME KABISA, MAANA MLIONA MAMA MTAMTEKA KWA VISIFA UCHWARA VYENU VYA MWANZONI.
NAONA MMEANZA KUMUONA MAMA HAFAI TENA PAMOJA NA YALE MAPAMBIO UCHWARA YA MAPEMA.
USIKONDE, BAADA YA KUKAMILIKA KWA MIRADI YA KIMKAKATI ILIYOACHWA NA HAYATI MAGU, NAAMINI HILO SWALA KATIBA MPYA LITAKUJA, KUWA NA SUBIRA, MKUU, ERYTHROCYTES, KAZI IENDELEE. HOTUBA YA MAMA ILIKUWA OVER 90% MAGU, UPO MKUU? NDIYO MAMA MAANA KIBARAKA WAKO ALIYEKO UGHAIBUNI HAKUBALIANI NAYO, NA HUYO NDIYO MAMA, MKUU.
 
Ni vema pia tukafahamu kwamba Wakati wa Bunge la Katiba , Mh Rais Samia ndiye aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge lile huku Mwenyekiti wa bunge akiwa Samuel Sitta .

Nimeanza na hili ili kuwaonyesha wadau kwamba Mh Rais anajua sana kuhusu mahitaji ya Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi kwenye nchi hii , huyu ndiye aliyekuwa msikilizaji msaidizi wa hoja zote za wadau wa Katiba Mpya ndani ya bunge lile , lakini cha ajabu ni kwamba Katika Hotuba yake bungeni hakugusia chochote kuhusu jambo hilo .

Hii si dalili njema .
Kivipi aguse wakati viongozi wenyewe akili kama Afande Sele.
 
Hakika wabongo siwaelewagi. Hivi unaanzaje mchakato wa katiba ukiwa na 20% ya wawakilishi Bungeni? Au mnataka katiba mpya pale tulipoishia? Kama msingi wa UPATIKANAJI wa katiba mpya ni demokrasia basi katiba mpya lazma italinda maslahi ya chama tawala chenye uwakilishi wa 80% mjengoni.
 
HAIPO KWENYE ILANI YA CCM 2020-2025. HAPO NDIYO UJUE CCM NI ILELE, KUSHANGILIA KWENU KWA KUFA KWA MAGU, HAKUJABADILISHA CHOCHOTE. NGOJA MAMA AWAPIGE KWA NGE MKOME KABISA, MAANA MLIONA MAMA MTAMTEKA KWA VISIFA UCHWARA VYENU VYA MWANZONI.
NAONA MMEANZA KUMUONA MAMA HAFAI TENA PAMOJA NA YALE MAPAMBIO UCHWARA YA MAPEMA.
USIKONDE, BAADA YA KUKAMILIKA KWA MIRADI YA KIMKAKATI ILIYOACHWA NA HAYATI MAGU, NAAMINI HILO SWALA KATIBA MPYA LITAKUJA, KUWA NA SUBIRA, MKUU, ERYTHROCYTES, KAZI IENDELEE. HOTUBA YA MAMA ILIKUWA OVER 90% MAGU, UPO MKUU? NDIYO MAMA MAANA KIBARAKA WAKO ALIYEKO UGHAIBUNI HAKUBALIANI NAYO, NA HUYO NDIYO MAMA, MKUU.
Inakusaidia nn wewe muimba mapambio unaelala kwa shemeji yako..
 
Mlipoanza kumsifia nilidhani labda nyie nyumbu mnamfahamu zaidi. Kumbe mlikuwa hamjui mfanyalo. Kazi kwenu na madai yenu ya katiba mpya.
 
Hakika wabongo siwaelewagi. Hivi unaanzaje mchakato wa katiba ukiwa na 20% ya wawakilishi Bungeni? Au mnataka katiba mpya pale tulipoishia? Kama msingi wa UPATIKANAJI wa katiba mpya ni demokrasia basi katiba mpya lazma italinda maslahi ya chama tawala chenye uwakilishi wa 80% mjengoni.
mbona unawapunguzia % umelenga nini ?
 
Back
Top Bottom