Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mimi naelewa ila najaribu tu kuwakumbusha waimba mapambioUlishaambiwa yeye na stonetangawizi ni wamoko
Duh!!kaazi kwelikweli.Kuna wanaosema kukosekana kwa Chadema bungeni ni kuwa chama kimekufa. Kiuhalisia kukosekana kwa Chadema bungeni chama kumezaliwa upya.
View attachment 1762028
Wacha weeee !Kuna wanaosema kukosekana kwa Chadema bungeni ni kuwa chama kimekufa. Kiuhalisia kukosekana kwa Chadema bungeni chama kumezaliwa upya.
View attachment 1762028
HAIPO KWENYE ILANI YA CCM 2020-2025. HAPO NDIYO UJUE CCM NI ILELE, KUSHANGILIA KWENU KWA KUFA KWA MAGU, HAKUJABADILISHA CHOCHOTE. NGOJA MAMA AWAPIGE KWA NGE MKOME KABISA, MAANA MLIONA MAMA MTAMTEKA KWA VISIFA UCHWARA VYENU VYA MWANZONI.Ni vema pia tukafahamu kwamba Wakati wa Bunge la Katiba , Mh Rais Samia ndiye aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge lile huku Mwenyekiti wa bunge akiwa Samuel Sitta .
Nimeanza na hili ili kuwaonyesha wadau kwamba Mh Rais anajua sana kuhusu mahitaji ya Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi kwenye nchi hii , huyu ndiye aliyekuwa msikilizaji msaidizi wa hoja zote za wadau wa Katiba Mpya ndani ya bunge lile , lakini cha ajabu ni kwamba Katika Hotuba yake bungeni hakugusia chochote kuhusu jambo hilo .
Hii si dalili njema .
Kivipi aguse wakati viongozi wenyewe akili kama Afande Sele.Ni vema pia tukafahamu kwamba Wakati wa Bunge la Katiba , Mh Rais Samia ndiye aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge lile huku Mwenyekiti wa bunge akiwa Samuel Sitta .
Nimeanza na hili ili kuwaonyesha wadau kwamba Mh Rais anajua sana kuhusu mahitaji ya Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi kwenye nchi hii , huyu ndiye aliyekuwa msikilizaji msaidizi wa hoja zote za wadau wa Katiba Mpya ndani ya bunge lile , lakini cha ajabu ni kwamba Katika Hotuba yake bungeni hakugusia chochote kuhusu jambo hilo .
Hii si dalili njema .
Sisiemu bhana kwhy tutaendelea kuongozwa kwa maono ya watu..Afrika ina laanaTume na katiba sio vipaumbele vyake.
Inakusaidia nn wewe muimba mapambio unaelala kwa shemeji yako..HAIPO KWENYE ILANI YA CCM 2020-2025. HAPO NDIYO UJUE CCM NI ILELE, KUSHANGILIA KWENU KWA KUFA KWA MAGU, HAKUJABADILISHA CHOCHOTE. NGOJA MAMA AWAPIGE KWA NGE MKOME KABISA, MAANA MLIONA MAMA MTAMTEKA KWA VISIFA UCHWARA VYENU VYA MWANZONI.
NAONA MMEANZA KUMUONA MAMA HAFAI TENA PAMOJA NA YALE MAPAMBIO UCHWARA YA MAPEMA.
USIKONDE, BAADA YA KUKAMILIKA KWA MIRADI YA KIMKAKATI ILIYOACHWA NA HAYATI MAGU, NAAMINI HILO SWALA KATIBA MPYA LITAKUJA, KUWA NA SUBIRA, MKUU, ERYTHROCYTES, KAZI IENDELEE. HOTUBA YA MAMA ILIKUWA OVER 90% MAGU, UPO MKUU? NDIYO MAMA MAANA KIBARAKA WAKO ALIYEKO UGHAIBUNI HAKUBALIANI NAYO, NA HUYO NDIYO MAMA, MKUU.
Ngoja miradi ikamilike itakuwa inanisaidia mimi, nlalaye kwa shemeji pamoja na wewe ulalaye kwakoInakusaidia nn wewe muimba mapambio unaelala kwa shemeji yako..
mbona unawapunguzia % umelenga nini ?Hakika wabongo siwaelewagi. Hivi unaanzaje mchakato wa katiba ukiwa na 20% ya wawakilishi Bungeni? Au mnataka katiba mpya pale tulipoishia? Kama msingi wa UPATIKANAJI wa katiba mpya ni demokrasia basi katiba mpya lazma italinda maslahi ya chama tawala chenye uwakilishi wa 80% mjengoni.
AMENKuna wanaosema kukosekana kwa Chadema bungeni ni kuwa chama kimekufa. Kiuhalisia kukosekana kwa Chadema bungeni chama kumezaliwa upya.
View attachment 1762028
Si mnamdemkia sana siku hizi ili kumkomoa Magufuli?Tuendelee kutafuta Katiba bora