Fahamu kwanini iphone inabaki kuwa bora kuliko simu za android

Mkuu umewahi kuona Camera za Samsung Ultras na Google Pixels?
 
Unaonekana unajua vingi kuhusu hizo simu za iPhone.

Unaweza ukanieleza kwanini maduka mengi yanayouza hizo simu kuna decorations nyingi tena zikiwa zimenakishiwa na mbao kuzidi idadi ya simu..?
 
Umemaliza kila kitu.
 
Umemaliza kila kitu.
Ecosystem ya apple products ni imara sana kwenye hardware nafikiri kushinda products nyingine za electronics.
Nakupa mfano MacBook ya 2012 inazidi hardware specs/speeds ya most windows and even phones,shida ya android jinsi unavyoibebesha mzigo(applications) ndio inavyozidi kua slow nitofauti na apple products,itakupa shida km jamaa wame temple na hardware Ila zile original sijapata yenye shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…