nakupenda sn kwa jinsi ninavyopagawa kwako watasema umenipa limbwataMhh haya mambo haya....sintokaa nifanye kama hanipendi hanipendi tu
kukimbizana kwa waganga kuweka nyama kwenye K.kumlisha mwenzio aisee
ni uchafu wa hali ya juu sana.....
usiulize babu pigia mstari
uakoma na wewe si ndo unaingia ndani ya ndoa mwezi ujao,,,,,,, ukijitia ndomo uankula mzoga uwiii...............!!!!Mmmhhh, hivi hiyo nyama inayowekwa ktk PAPUCHI ya mwanamke kwa siku 7 haiaribiki/kuoza??? Naomba majibu tafadhali!!
Mhh haya mambo haya....sintokaa nifanye kama hanipendi hanipendi tu
kukimbizana kwa waganga kuweka nyama kwenye K.kumlisha mwenzio aisee
ni uchafu wa hali ya juu sana.....
mimi naomba unipe limbwata nikupende milile babe. mambo vipi?. mia
Unaweza usimfanyie wewe, akafanyiwa na mwanamke mwingine
Inaoza na nasikia kadil inaVYOendelea kukaaa siku nyingi ndo limbwata inavyokua strong usiombe kanyama akakaweka mwezi MZIMA uko hyo limbwata yake balaaMmmhhh, hivi hiyo nyama inayowekwa ktk PAPUCHI ya mwanamke kwa siku 7 haiaribiki/kuoza??? Naomba majibu tafadhali!!
na huyo mwanamke anakuwa analala na mumewe? kama ni ndiyo huyo mwanaume atakuwa mvumilvu sana kwa sababu hiyo harafu itakuwa kama panya aliyeoza ............... na je kuoga anaoga na kama anaoga hiyo nyama inawekwa wapi?
Tick Tick mom.....hii ni hatwari!!Mhh haya mambo haya....sintokaa nifanye kama hanipendi hanipendi tu
kukimbizana kwa waganga kuweka nyama kwenye K.kumlisha mwenzio aisee
ni uchafu wa hali ya juu sana.....
Siku 7 ndo inaiva ama manake najua nyama ikikaa bila kuhifadhiwa kwenye chumvi inaharibika...
Wakati wa kulala na kuoga inatolewa na kuhifadhiwa sehemu maalumu
Mzee naona shule ya uchawi imeanza kujibu! mimi nasubiri somo la chuma ulete, maana nimefanya kazi sana sioni faida sasa nataka kula bila kujihangaisha, kipindi kiki fika ni PM