mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,284
- 1,221
nakupenda sn kwa jinsi ninavyopagawa kwako watasema umenipa limbwataMhh haya mambo haya....sintokaa nifanye kama hanipendi hanipendi tu
kukimbizana kwa waganga kuweka nyama kwenye K.kumlisha mwenzio aisee
ni uchafu wa hali ya juu sana.....