Fahamu kwanini limbwata huwekwa kwenye papuchi

Fahamu kwanini limbwata huwekwa kwenye papuchi

hawa si ndo wale watu wafupi kuliko wote tz kule magharibi mwa tz?

halafu unapewa dushelele nyiingi kwenye ungo unaambiwa chagua yako!! hahaaa!!

kuna jamaa alipewa mimba hivi hivi baada ya kumkimbia mtoto wa watu huko!!

chezea kgt all stars wewe!


hahahaah........mimi simo.......
 
Hivi, hivyo vitonge vya nyama viwekwavyo huko kwenye kwenye uke huwa havivundi?

Na huwekwa huko kwa muda gani?

Na huwa havizalishi bakteria wenye athari za kiafya dhidi ya papuchi?
 
kichafu ni nn...nyama ama papuchi,sasa kama papuchi ndo chafu mbona yanyonywa?
Mhh haya mambo haya....sintokaa nifanye kama hanipendi hanipendi tu

kukimbizana kwa waganga kuweka nyama kwenye K.kumlisha mwenzio aisee

ni uchafu wa hali ya juu sana.....
 
Akili za wanawake bna poleni mnao kula nyama za kwenye papuchi zenye utoko,mtalishwa sana mwaka huu,bora sie vegetarian... Sijui kuna limbwata ya mchicha amah.?
 
kichafu ni nn...nyama ama papuchi,sasa kama papuchi ndo chafu mbona yanyonywa?

kama na wewe ni miongoni mwa wanao nyonya papuchu,wewe ni kiazi kabisa,akili zako hazina akili,ngojea kansa.
 
Hivi, hivyo vitonge vya nyama viwekwavyo huko kwenye kwenye uke huwa havivundi?

Na huwekwa huko kwa muda gani?

Na huwa havizalishi bakteria wenye athari za kiafya dhidi ya papuchi?

tena usikute io papuchi ina vujisha maji kama rejeta mbovu teh teh teh teh utafaidi mbona... Big up kwa ma vegetarian labda kue na limbwata ya mrenda ndo watanipata hapo.
 
^^
Bora hiyo ndugu zako wanaweza kusaidia,,ipo ya maji ya maiti.
(ngoja nihifadhi kinywa changu)
^^
hiyo ya maji ya maiti kuna kabila wanaitumia na wanaita "MNYOSHE"
yan mwanaume akilishwa ananyooka kama maiti. Hasemi lolote ndan ya nyumba na anakuwa kama ndondocha.

Eeh Mungu tunusuri sie watoto wako maana hatujui nan mke mwema isipokuwa wewe Ebenezer
 
hiyo ya maji ya maiti kuna kabila wanaitumia na wanaita "MNYOSHE"
yan mwanaume akilishwa ananyooka kama maiti. Hasemi lolote ndan ya nyumba na anakuwa kama ndondocha.

Eeh Mungu tunusuri sie watoto wako maana hatujui nan mke mwema isipokuwa wewe Ebenezer

Sema tu wadigo
 
Mhh haya mambo haya....sintokaa nifanye kama hanipendi hanipendi tu

kukimbizana kwa waganga kuweka nyama kwenye K.kumlisha mwenzio aisee

ni uchafu wa hali ya juu sana.....
Yaani shosti nakupendaje? Mapenzi hayalazimishwi!!!!
 
Unaweza usimfanyie wewe, akafanyiwa na mwanamke mwingine

umeonaee!yale yale ya unaweza ukamsitahi mkeo kwa kutokumla kabang,lakini akaliwa na bwana wa nje.hii dunia hii!!......bora kurudi nyumbani kwa baba source ambassoder of christ.?
 
kuna sehemu flani,mtoto alizama kwenye dimbwi akafa..wanawake waliyachota yale maji..wakatengeneze shuntama..
 
Akili za wanawake bna poleni mnao kula nyama za kwenye papuchi zenye utoko,mtalishwa sana mwaka huu,bora sie vegetarian... Sijui kuna limbwata ya mchicha amah.?

mwanamke akiamua kukufanyia haya makitu hashindwi sio lazima akulishe nyama wanamna zao inawezatumika mshumaa,vikokoto,pini,sindano,kitambaa cheupe hata kauzi tu kanguo yako
 
Haya mambo kweli yapo ila vipi kuhusu wanaume hawajui kutumia limbwata??manake kuna mwanamke mmoja amepigwa mpaka kavunjwa mguu alafu kaletewa mke mwingine ndani,kwa sasa analala chumba cha watoto..hiyo sio limbwata?
 
Hebu nielimishe tofauti ya kula nyama iliyowekwa ndani ya K na kulamba K kwa ulimi.

Kama hakuna tofauti ina maana wote wanaoteremka chumvini katika harakati za kupeana raha wanakula uchafu?

K inasafishwa daily babu wewe....Hiyo nyama ya kuwekwa kwenye K wiki nzima usalama UPO!!!!

We mwenyewe usiifanyie usafi hiyo K japo siku mbili uone ka Chumvin mwanaume wako ataenda..........
 
Haya mambo kweli yapo ila vipi kuhusu wanaume hawajui kutumia limbwata??manake kuna mwanamke mmoja amepigwa mpaka kavunjwa mguu alafu kaletewa mke mwingine ndani,kwa sasa analala chumba cha watoto..hiyo sio limbwata?

She dont love that man. She just tolerating him because she love her children!
 
Back
Top Bottom