Fahamu kwanini Matajiri huendelea kuwa matajiri

Kinachotupambanua maskini na matajiri ni uwekezaji tu,wapi umewekeza muda wako na pesa yako ndio itadetermine hali yako kiuchumi,tukitaka tufanikiwe kimaisha tujitahidi kuwekeza muda wetu katika mambo ya msingi kama kujiongezea maarifa,kujenga connections,kuchapa kazi,kusaidia wengine na ibada.siku zote mtu huvuna alichokipanda.hakuna kitu muhimu duniani kamamilelehata dakika moja ikipotea ndo imepotea hutakaa uipate tena milele.tuache kutumia muda wetu kwenye mambo yasiyo na tija.siku isiishe bila kujifunza vitu vipya,kusogea mbele kimaendeleo,kusaidia wenzio(hata kimawazo),nakusali/meditate
 
If you don't find a way to make money while you sleep, you will work until you die. - Warren Buffet
“Someone’s sitting in the shade today because someone planted a tree a long time ago.”
 
Tupe idea mpya haya mambo ya Robert tunayafaham long time agooo
kweli mkuu angewaambia tu ukweli kuwa wasome kitabu cha Robert kiyosaki kuliko kuwafanya watu waendelee kumsubiri mpaka akopi na kupesti tena
 
Well said kabisa 😹😹 😵
 
Facts. Pamoja na mindset naomba niongeze vitu vitatu 1. Watu hatuna na hatutafuti information za kutosha 2.hatuna utayari 3. Hatutaki kujaribu au kuthubutu.

Kuna mjasiriamali mmoja alisema kama wakitokea watu wanahitaji hela kwaajili ya biashara ataweka hela yake kwa yule aliefeli biashara mara nyingi kwasababu amejaribu na kuna vitu amejifunza katika kufeli.

Kiukweli wengi hatupo tayari kujaribu na kuthubutu kwasababu tunaweza kufeli ila kila aliefanikiwa anakwambia ukifeli kwa haraka zaidi utafanikiwa kwa haraka zaidi.

Ujasiriamali na biashara utendaji sio jambo la theory inamaana hata upewe knowledge kila siku na vitabu vya kusoma kuhusu kuogelea kwa miaka mitatu straight, ukiingizwa kwenye maji iwe baharini au swimming lazima uzame kwasababu kuogelea sio theory lazima ufanye practical ushindwe ujaribu ten ushindwe mwisho unakua mzoefu kwakufeli sana mwanzoni na hii inaapply kwenye kila kitu uoga wa watu kuanguka unawafanya wasipige hatua mwisho wa siku watachelewa kutembea au hawatatembea kabisa Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…