Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Kumbuka kila unapo post Ticket yako ya Ndege unahatarisha usalama wako kama ifuatavyo
a. Kwa kutumia Msimbo Pau (Barcode) ya tiketi, Wadukuzi wanaweza kupata taarifa zako na kuzitumia kukufanyia Ulaghai (Phishing).
b. Ni rahisi mtu kubadilisha au kuahirisha safari yako kwani anahitaji jina na PNR (Namba ya Kumbukumbu ya Abiria)
c. Taarifa zako ni muhimu kwa wizi wa Utambulisho, zinaweza kuwezesha udanganyifu kama kufungua 'Credit Card' au kufanya manunuzi bila idhini.
d. Tukio hilo pia linaweza kuwa kichocheo cha Wezi kuvamia nyumbani kwako kwani umeweka taarifa kuwa haupo
a. Kwa kutumia Msimbo Pau (Barcode) ya tiketi, Wadukuzi wanaweza kupata taarifa zako na kuzitumia kukufanyia Ulaghai (Phishing).
b. Ni rahisi mtu kubadilisha au kuahirisha safari yako kwani anahitaji jina na PNR (Namba ya Kumbukumbu ya Abiria)
c. Taarifa zako ni muhimu kwa wizi wa Utambulisho, zinaweza kuwezesha udanganyifu kama kufungua 'Credit Card' au kufanya manunuzi bila idhini.
d. Tukio hilo pia linaweza kuwa kichocheo cha Wezi kuvamia nyumbani kwako kwani umeweka taarifa kuwa haupo