Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Yataka moyo
kubana dushe si tatizo tatizo ni vichupa
usibane korodan maana production ya sperm hucanyika kule
Hiyo ni rahisi mkuu unajifanya tumbo limekuuma ghafla unachuchumaa.Sipati picha hujavaa chupi,umechomekea halafu upo ofisini kikatokea kitamanio,mara dushe hiyiooo kama mnara sijui utafanyaje halafu ndo boss kakuita ghafla unatakiwa usimame uende!Ni shidaaa.
mkuu, makala iliandikwa kwenye gazeti moja la hapa nchini. makala yangu imektwa fupi kwa kuwa nimeiandika kwa kutumia simu ya mchina, ngoja nikiifikia kompyuta ghetto niitafute niianike humu. unajua hasa hawa dada zetu wanaovaa tamang'eo za kubana wanazitesa sana papuchi zao kwa kutozipa mwanya wa kupata hewa safi!
Hiyo kitu mie siwezi kufanya kwakweli
Embu fikiria, midushe yenu huwa inasimama yenyewe bila shuruti Kila asubuhi....halafu ndio unatumia public transport unaikuta misuriali yenu imefura.....hilo basi mtapanda wenyewe muoneshane huyo mituno yenu......embu fikiria na sisi tumeacha kuvaa hizo pichu halafu tunatoka kwenye kitchen party halafu linakuja zinga la upepo......
.
Nakuunga mkono mimi hizo mambo niliacha mwaka2000 ni mwendo wa bukta fupi hadi badae zilipokuja boxer za mtumba na hatimaye hizi za kisasa. Kipindi hicho zilikua zinatamba sana chupi zenye rangi za bendera za nchi mbalimbali zilizoshiriki worldcup mwaka98.