Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza makabila yanayopatikana Tanzania na nje ya Tanzania tukianziaa
1.wakurya wa Tanzania na wakurya wa Kenya.
2.wamasai wa Tanzania na wamasai wa Kenya.
3.wachaga watanzania na watanzania wa Kenya
4.wabondei wa Tanzania na wabondei wa Kenya.
5.wabembe wa Tanzania na wabembe wa Congo.
6.wamanyamema wa Tanzania na wamanyema wa Congo
7.warangi wa Tanzania na warangi wa Ethiopia.
8.waha wa Tanzania na waha wa Burundi na Rwanda ila kule wanajulikana kama watwa.
9.Watusi wa Rwanda na Watusi wa Tanzania hawa wapo tabora
10.waganda kyaka wa Uganda na waganda kyaka wa bukoba.
11.wanyoro wa Uganda na wanyoro wa Tanzania ambao sisi tunawaita wahaya
12.wamakonde wa Tanzania na wamakonde wa msumbiji
13.wayao wa Tanzania na wayao wa msumbiji
14.wajaluo wa Tanzania na wajaluo wa Kenya
15.wafipa wa Tanzania na wafipa wa Zambia
16.wanyakyusa wa Tanzania na wanyakyusa wa malawii
Haya endeleeeaaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
1.wakurya wa Tanzania na wakurya wa Kenya.
2.wamasai wa Tanzania na wamasai wa Kenya.
3.wachaga watanzania na watanzania wa Kenya
4.wabondei wa Tanzania na wabondei wa Kenya.
5.wabembe wa Tanzania na wabembe wa Congo.
6.wamanyamema wa Tanzania na wamanyema wa Congo
7.warangi wa Tanzania na warangi wa Ethiopia.
8.waha wa Tanzania na waha wa Burundi na Rwanda ila kule wanajulikana kama watwa.
9.Watusi wa Rwanda na Watusi wa Tanzania hawa wapo tabora
10.waganda kyaka wa Uganda na waganda kyaka wa bukoba.
11.wanyoro wa Uganda na wanyoro wa Tanzania ambao sisi tunawaita wahaya
12.wamakonde wa Tanzania na wamakonde wa msumbiji
13.wayao wa Tanzania na wayao wa msumbiji
14.wajaluo wa Tanzania na wajaluo wa Kenya
15.wafipa wa Tanzania na wafipa wa Zambia
16.wanyakyusa wa Tanzania na wanyakyusa wa malawii
Haya endeleeeaaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app