Fukara
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,625
- 928
Joaquin Guzman Loera a.k.a El Chapo mzaliwa wa mexico na mfanyabiashara mkubwa wa madawa ya kulevya anayetafutwa na Marekani na Mexico kwa udi na uvumba, leo nimeamua kushare na nyinyi wanaJF kuhusu mafia huyu wakimekiko.
1.Forbes walishawahi kumuweka kwenye listi ya watu wenye pesa nyingi duniani mwaka 2009.
2.Ni miongoni mwa watu wenye nguvu na ushawishi duniani akikamata nafasi ya 67.
3.Alipewa jina la Osama bin Laden wa biashara ya madawa.
4.Ametoka kwenyw familia masikini na amesoma mpaka darasa la 3,akaanza kuuza bangi na baba yake mzazi akiwa na umri wa miaka 15 akamjenga nyumba mama yake.
5.Amekaa gerezani kuanznia mwaka 1983 mpaka 2001 chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi na usalama,lakini alitoroka baada ya kuonga dola 2.5m,alipitia kwenye toroli la kukusanyia nguo chafu gerezani.
6.Selo yake ilikuwa tofauti na zingine alipata kila kitu alichokuwa anataka zikiwemo cocaine na malaya na alibadili selo kuwa kama hoteli yenye hadhivya nyota tano.
7.Alipewa jina la "public enemy No 1"nchini marekani na harususiwi kukanyaga nchini humo.
8.Anawake wa 4 na watoto 10 lakini wote wanafanya biashara hiyo ya madawa ya kulevya.
9.Alikuwa akiingia kwenye migahawa au kasino,bar hakuna mtu ataruhusiwa kutoka mpaka yeye amalize kilichompeleka pale..na bili zote watu walizo tumia analipa yeye.
10.Anaulinzi wa zaidi ya rais wa marekani na kwenye mizunguko yake ya kawaida anatembea na walinzi 15 makomandoo.
NB😀onge nono litatolewa kwa atakaye fanikisha kukamatwa kwake dola milioni 5 kwa marekani na 3.8 kwa mexico..jumla dola milioni 8.8..
View attachment 268553
Nawasilisha
1.Forbes walishawahi kumuweka kwenye listi ya watu wenye pesa nyingi duniani mwaka 2009.
2.Ni miongoni mwa watu wenye nguvu na ushawishi duniani akikamata nafasi ya 67.
3.Alipewa jina la Osama bin Laden wa biashara ya madawa.
4.Ametoka kwenyw familia masikini na amesoma mpaka darasa la 3,akaanza kuuza bangi na baba yake mzazi akiwa na umri wa miaka 15 akamjenga nyumba mama yake.
5.Amekaa gerezani kuanznia mwaka 1983 mpaka 2001 chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi na usalama,lakini alitoroka baada ya kuonga dola 2.5m,alipitia kwenye toroli la kukusanyia nguo chafu gerezani.
6.Selo yake ilikuwa tofauti na zingine alipata kila kitu alichokuwa anataka zikiwemo cocaine na malaya na alibadili selo kuwa kama hoteli yenye hadhivya nyota tano.
7.Alipewa jina la "public enemy No 1"nchini marekani na harususiwi kukanyaga nchini humo.
8.Anawake wa 4 na watoto 10 lakini wote wanafanya biashara hiyo ya madawa ya kulevya.
9.Alikuwa akiingia kwenye migahawa au kasino,bar hakuna mtu ataruhusiwa kutoka mpaka yeye amalize kilichompeleka pale..na bili zote watu walizo tumia analipa yeye.
10.Anaulinzi wa zaidi ya rais wa marekani na kwenye mizunguko yake ya kawaida anatembea na walinzi 15 makomandoo.
NB😀onge nono litatolewa kwa atakaye fanikisha kukamatwa kwake dola milioni 5 kwa marekani na 3.8 kwa mexico..jumla dola milioni 8.8..
View attachment 268553
Nawasilisha