Fahamu mambo muhimu ya kufanya katika kila hatua ya Ujauzito

Asante..
Sisi wanawake huwa kuna vitu hasa vya hofu lazima tutaongea tu kutoana hofu au kutaka ushauri,so alikuwa rafiki yangu.
 
Vijana mnapenda kupigana miti tu, ukijulishwa matokeo yake unaanza kutafuta mbinu za kumkimbia mwenzako. Kijana wa hovyo sana wewe.
 
Asante..
Sisi wanawake huwa kuna vitu hasa vya hofu lazima tutaongea tu kutoana hofu au kutaka ushauri,so alikuwa rafiki yangu.
Kumbe ni KE? Basi nisamehe Mkuu wangu, hizi K-Vant zitatuua aisee.
 
na apite mume apa ajifunze kitu , wengine badala ya kucheza na mtoto tumboni mama anakula makofi ya kutosha.
 
Ivi mtoto mlimuita jina gani?[emoji1787][emoji1787]
 
Somo zuri sana hili tengenezeni audi
Somo zuri sana tengenezeni audio yake kwa faida ya wasioona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…