Fahamu mbinu mbalimbali za kuongeza mauzo ya biashara yako

Mmh!
 
Du unataka kusema wafanya biashara wa huko ni wasuma tu na makabila mengine namna?
 
If you dont mind bro naomba kitabu hicho
 
Hapa tanzania, karibia Biashara 1000+ huanzishwa kwenye Mwezi ya January na Kufikia mwezi wa November, Karibia 85% ya hizo biashara hufeli.

Wengi wetu tuliwahi kuwa kweye hiyo 85% ya biashara zinazo feli. Na wengine tuko kwenye ile 15% ya wanaondeleza biashars kwa bahati au kwa kuwa tuna elewa tunachokifanya.

Kuna mambo kadhaa ambayo tunayafanya vibaya na hivyo kutufanya kuwa wale wale, kufanya biashara zetu zisitofautiane na wengine kwa kuwa tunaona matokeo ni yale yale.

Ukitambua Kosa liko wapi, na hata kama bado biashara yako inasonga; Kutambua nini kinakufanya uwe yuleyule itasaidia kukuza biashara yako kwa kiasi kikubwa.

Ukifanya yafuatayo, nakuhaidi utapata matokeo mazuri na kwa mda mfupi.

1. "Kama Huwezi Nunua Vyote Kwa Pamoja, Huwezi Kununua Kimoja Wapo!"

Uliwahi kuanza kupungukiwa bidhaa dukani na pesa iliyopo mfukoni haitoshi? Mfano unauza Madaftari, Michele, Sukari, Mafuta , Na mengineyo ila ukaishiwa Madaftari na Mafuta labda na Unga. Kama hutoweza kuvinunua vyote kwa pamoja, huwezi kununua kimoja wapo.

Namaanisha kwamba; Umeishiwa madaftari, mafita na unga; Ukasema ngoja uanze kununua Unga kwa kuwa hela uliyo nayo haitoshi, basi ukinunua unga ukianza kuuza pesa utakayoipata utanunua Mafuta...Na ukianz kuuza mafuta ndipo utanunua Madaftari.Ina maana kwamba kila pesa itakayokuwa inaingia inatumika na sio Kuhifadhiwa.

Je, unafanya nini ili kukwepa hali hii?

2.Matumizi Yasizidi Mapato.

Unaweza kuwa umeweka vitu vya Laki Tano Dukani(Ni Mfano) Ukiaanza kuuza. sasa ukaanza kuagiza Vitu vya Ziada ambavyo Bei yake itazidi ile uliyoingiza mda huo, Basi utakuwa umejiingiza kwenye mzunguko ambao utafanya Ufunge Duka; Madeni!

Inamana kila hela utakayopata Utaanza luitumia kulipia bidhaa ulizoagiza mwanzo na bado hizi zitaanza kuisha na huna hela ya kununua nyingine maana imetumika kulipia bidhaa za awali hivyo utaendelea kujikopa ili uendelee kuwa na vitu Dukani. Process itajirudia na huyokuwa na Faida jivyo utafunga Duka

Nacho jaribu kukwambia ni kuwa usifanye matumizi yakazidi mapato.Numua Vile Unavyoweza kununua Na kubaki na Faida ya awali!

3.Epuka Mikopo

Hakuna litu ambacho kinaonelana kirahisi kama kupokea mkopo kutoka kwa rafiki au benki ili uendelee kukuza biashara yako. Jambo hili uonelana jema kwa kuwa wengi uahidi Kuweka riba chache na wengine kukupa mda mrefu wa marejesho.

Kadri siku zitakavyoenda...ndipo uatakapo gundua kuwa huwezi tena kuingiza faida au kulipa mkopo kwa wakati kwa kuwa labda wateja ni kidogo ila / au mahitaji yanaongezeka kila kukicha.

Badala ya Mikopo unaweza kuchagua Crowd Funding. Hapa jamii inayo kuzunguka itakupa Hela (Labda kuanzia 10,000/ Kila Mtu) Na In Return watapokea Punguzo la kiasi fulani wakiwa wana nunua vitu kutoka Dukani mwako na Pumguzo litaendelea kwa mda gani.

Hii ni rahisi maana sio mkopo, huto warudishia pesa bali huduma ya.kipekee labda punguzo la asilimia fulani mpaka kiasi alichokupa kikiishia kwenye hayo mapunguzo na kuongeza kidogo tu!

Faida nyingine ni kuwa utajipatia wateja wa paop kwa papo..Kwa kuwa hawato nunua kwingine bali kwako ili wapate punguzo.

Shida ni kwamba luwapata watakao fanya hivyo mara nyingi ni ngumu.

Unaweza kusambaza Offer yako kwa Vipeperushi au kutoa tangazo kwenye Local Radio Station.

4." Mteja Huwa Sahihi Wakati Wote!"

Ili biashara yako kuwa ya kitofauti na za wengine utahitaji kumuondolea mteja kitu kinachoitwa "No Money Out" Syndrome...Hichi kila mtu anacho. Kumshawishi mtu kunua bidhaa kwako kila mara na kila siku ni jambo ambalo unapaswa kufanya ili kufanikiwa. Na njia rahisi ya kufanya hivyo ni kwa kumfanya ajisikie huru, na anae thaminiwa. Hapa ni kwa kumsikiliza na kuepuka mabishano.

5.Tenga Fungu La Matangazo



Itimisho.

Natumai kuwa baadhi ya njoa hizi ulikuwa huzifahamu. Na kama umefunguka Share na unao wapenda...Na soma makal nyinhine za Ujasiriamali.
 
Nzuri sana,ila naamini ukikopa unakuwa na nidhamu ya matumizi kuliko ukifanya biashara bila kuwa na mkopo.
 
Nzuri sana,ila naamini ukikopa unakuwa na nidhamu ya matumizi kuliko ukifanya biashara bila kuwa na mkopo.
Yep....Ila sio kila mtu anae kopa anaweza ku manage biashara, faida na mkopo....Wengi wetu tutaanza kufikiria kurejesha mkopo..
Hivyo hautusaidii..bali unaleta hasara
 
Yep....Ila sio kila mtu anae kopa anaweza ku manage biashara, faida na mkopo....Wengi wetu tutaanza kufikiria kurejesha mkopo..
Hivyo hautusaidii..bali unaleta hasara
Binafsi nimeanza kuwa na adabu ya matumizi baada ya kuanza kukopa.Kabla ya hapo nilikuwa kila wakati nahisi ninazo.
 
mmh..Dr Said rafiki yangu....
nakukumbuka.karibu tena Zanzibar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwana nini nyuzi za hivi wachangiaji huwa ni wachache saaana



Dr. Unaleta nondo kama hizi lini??
 
Hivi kweli umeelewa vizuri anachokielezea Dr. Said? Maana naona wewe badala ya kwenda kulia unakwenda kushoto mwa mada! Negativity will not take you anywhere! Learn the blue ocean strategy utaachana na hayo mawazo mgando!
 
Dr. Said nataka kukutana na wewe physically. Nakupatsje?
 
hiyo hata Njombe iko kama wewe sio mbena au mkinga biashara lazima ife
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…