Fahamu mbinu mbalimbali za kuongeza mauzo ya biashara yako

Fahamu mbinu mbalimbali za kuongeza mauzo ya biashara yako

Kama wewe ni mjasiriamali au mfanyabiashara unaehangaika kupata wateja kutokana na ushindani basi naomba unisikilize kwa umakini sana, kwani katika makala hii nataka nikuonyeshe mbinu ambayo itakusaidia:-

  1. Kuua ushindani kwenye soko lako na
  2. Kuwafanya wateja wavutiwe kuja kununua bidhaa/huduma unayotoa kutoka kwako badala ya washindani wako.


Mbinu hii nimejifunza kwenye kitabu kiitwacho Blue Ocean Strategy (Stratejia za Bahari ya Bluu) iliyoandikwa na Chan Kim.

Ndani ya kitabu hicho anazungumza stratejia za aina mbili:
  1. Red Ocean (yenye kufatwa na 90% ya wajasiriamali wanaohangaika) na
  2. Blue Ocean (yenye kufuatwa na wachache wenye kuteka soko)

Tofauti ya stretejia (mbinu) hizi mbili inatokana na mfano ambao ametoa wa mapapa wenye kutafuta samaki.

Anasema mfanyabiashara ni kama papa mwenye kutafuta eneo lenye samaki samaki kwa ajili ya kula. Na samaki ni mteja wa mfanyabiashara yule.

Papa huyo akigundua eneo lenye samaki na kuanza kula wale samaki, baada ya muda fulani atapita papa mwengine kuja kula samaki katika eneo lile.

Na baada ya muda atakuja mwengine na mwengine hadi itafika wakati papa hao wanakuwa wengi kuliko idadi ya samaki na wanashtukizia kuwa wanatafunana wenyewe kwa wenyewe hadi damu kumwagika na kufanya rangi ya ile bahari kuwa nyekundu, na ndio maana ikaitwa red ocean strategy.

Huo ndio mfano wa wafanyabiashara wengi.

Utakuta mtu anaanzisha duka lake. Mambo yake yanaenda vizuri na anaanza kupata wateja.

Mtu mwengine anaona ile biashara na kusema “Kumbe biashara ile inalipa! Wacha na mimi nianzishe duka langu.”,

Anaanzisha duka lake na kuingia kwenye ushindani na yule aliyefungua duka la mwanzo. Baada ya muda, mwengine nae anaanzisha duka lake na kuingia kwenye ushindani na wale wawili.

Inafika wakati mlolongo wa watu wanafungua biashara kama ile na wanaingia katika ushindani hadi wanafikia 20, 30 hali ya kuwa idadi ya wateja bado ni ileile.

Inafika wakati wanajikuta wapo katika ushindani na biashara zote zinakuwa zinaumia.

Lakini Blue Ocean Strategy inakufanya wewe kujichomoa katika eneo lile la bahari na kuenda katika eneo jengine ambalo halina mapapa na kuwavuta samaki kuja kwako.

Na kwa vile lile eneo ni lako na ushaweka bendera yako hata papa mwengine akija hawezi kushindana na wewe kwa sababu eneo lile unalifahamu vizuri na samaki wale wamevutiwa na wewe kuliko mapapa wengine.

Vipi unaanzisha Blue Ocean Strategy?


Kwanza unatakiwa kufahamu kuwa kuna aina mbili za wajasiriamali au wafanyabiashara ambao ni
  1. Generalist na
  2. Specialist
Generalist ni mfanyabiashara anayewalenga wateja wote na Specialist ni mfanyabiashara anayelenga kundi fulani tu la watu na anafanya hivyo kwa sababu anajuwa kuwa hakuna mtu mwengine kama yeye anayeweza kutatua matatizo ya kikundi hilo kama yeye.

Ingawa watu wengi wanaona ni bora kuwa generalist kwa sababu soko lake ni kubwa, kitu wasichokifahamu kuwa kuwa generalist haitaji taaluma kubwa na soko lenye taalum ndogo linakuwa na ushindani mkubwa kuliko soko lenye taaluma ndogo.

Lakini ukiwa specialist unakuwa na uwezo wa kuwanasa watu wengi kwa sababu wewe unaonekana kuwa ni mtaalamu mbele ya macho ya soko lako na watu wanakufata wewe na wapo tayari kukulipa pesa zaidi kuliko yule mtu ambaye anaonekana anafanya kila kitu (generalist).

Na mfano mzuri ni kama madaktari.

Daktari ambaye anatibu wagonjwa wote ni generalist (MD) na daktari ambaye ni specialist anaona wagonjwa wachache lakini analipwa pesa nyingi na super specialist analipwa pesa nyingi zaidi kuliko wote.

Na kama wewe unataka kuua soko lako basi huna budi kuwa specialist au hata super specialist.

Mfano mimi (Dr Said) nilivyoanza biashara yangu niliingia katika soko la web design ambalo lilikuwa na ushindani mkubwa.

Nilianza kuwatengenezea tovuti wafanyabiashara, lakini nikaona nikijiweka kama Web Designer watu watanifananisha na Web Designer wengine na kunihoji kuhusu bei zangu kuwa juu kulinganisha na web designers wengine.

Hivyo sikujiweka kama Web Designer, na hata nilipokuwa nawapigia simu nilikuwa nikiwaambia

“Hello! Kwa jina naitwa Dr. Said Said, ninawasaidia wafanyabiashara kama wewe kutumia tovuti kunasa wateja kwenye mtandao. Na sasa hivi natoa consultation ya bure ya saa 1. Je ungependa kupata consultation ya bure kujifunza namna unavyoweza kutumia tovuti yako kunasa wateja?”


Wengi walikuwa wanajibu kuwa wangependa kupata consultation hiyo.

Na mimi nikienda kule nawaonyesha njia wanazoweza kutumia kupata wateja kwenye biashara zao kupitia website (tovuti) na sio jinsi wanavyoweza kumiliki website yenye kupendeza.

Najua wateja wangu hawajali sana kuhusu kumiliki website nzuri kama wanavyojali kupata wateja kupitia website zao.

Kujiweka kwangu kama Specialist (Online Marketer) kumenisaidia sana kupata projects nyingi zenye thamani (Blue Ocean Strategy) badala ya kujitangaza kama web Designer ambayo ni Red Ocean fani yenye ushindani mkubwa.

Mbinu hiyo na wewe unaweza kuitumia katika biashara yoyote ile.

Tuchukulie mfano wa biashara ya tour:

Muda si mrefu nimetoka kupigiwa simu na mmiliki wa kampuni ya tour na anataka ushauri vipi aitumie website yake kupata wateja.

Kitu cha mwanzo nilichomwambia ni kujiposition vizuri kwenye soko kama specialist badala ya generalist, ushauri huohuo ambao niliokupa wewe nilimpa yeye.

Badala ya kusema sisi ni tour company ambao tunapokea wageni kutoka nje sema sisi tunaspecialise kuwasaidia kundi fulani la watu kupata jambo fulani.

Kwa mfano nina rafiki yangu ambaye yeye amejikita kwenye motorbike safari.

Anasema “Sisi tunashughulika na Adventure safari za Motorbike tu! Kama wewe hujui kuendesha pikipiki hapa sio kwako”.

Kwa haraka haraka unaweza kuona kuwa atapata wateja wachache lakini kwa vile hana ushindani, wateja anaowapata wanamtosha sana na anatengeneza pesa nzuri sana na anaweza kuweka chaji ambayo washindani wake hawawezi kuweka kwa sababu washindani wake hawafanyi motorbike safari.

Swali unalotakiwa kujiuliza nia nijiweke vipi kwenye soko kama mtaalam wa kitu fulani ili niwavute watu waje kwangu?

Siku zote angalia wateja wako wana matatizo gani na kitu gani maalumu utafanya.

Usijaribu kufanya mambo mengi . Chagua kitu kimoja tu cha kufanya.

Muhimu hilo tatizo liwepo katika soko na watu wachache waweze kutatua hilo tatizo. Kama wewe ni miongoni mwa hao wachache ambao wanaweza kutatua tatizo hilo basi nakuhakikishia utapata wateja wengi na utakuwa huna ushindani katika biashara yako.

Ifanyie kazi na unijulishe umefaidika vipi na mbinu hiyo.

Kama umependa makala hii basi utapenda video yangu niliyotengeneza yenye kukuonyesha Jinsi ya Kutumia Mtandao wa Facebook na Instagram Kunasa Wateja (Bofya hapa).

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

Dr. Said Said
Mkurugenzi wa Online Profits

[Makala hii imechapwa na Abdallah Hemedi - Content Manager | Online Profits] .
Mkuu lamba like kwanza , mi nimekupata vizuri kabisa bila chenga
 
Kwa mfano, ukiona sehemu haina biashara ya kuuza mgodoro jua hiyo sehemu biashara ya magodoro haitembei. Ukiona sehemu zipo biashara nyingine lakini lakini biashara ya nguo au viatu eneo hilo haipo, wewe usije ukaanzisha biashara hiyo eneo hilo, utaifunga.
Kafanye biashara sehemu yenye biashara.

Hapa nimetumia udhoefu wakuu.
 
Kwa mfano, ukiona sehemu haina biashara ya kuuza mgodoro jua hiyo sehemu biashara ya magodoro haitembei. Ukiona sehemu zipo biashara nyingine lakini lakini biashara ya nguo au viatu eneo hilo haipo, wewe usije ukaanzisha biashara hiyo eneo hilo, utaifunga.
Kafanye biashara sehemu yenye biashara.

Hapa nimetumia udhoefu wakuu.

Hapa sijasema ufanye biashara iliyokuwa haipo ili utofautiane na wengine.

Ninachosema uingie katika soko lenye ushindani (kama kuuza spare) na u specialize kwenye segment ya soko hilo (kama kuuza spare za magari ya nissan tu) ili utofautiane na wauza spare wengine.
 
Safi sana mkuu, umeisema kweli, ni kama njia iendayo mbinguni ni nyembamba na waipitiao ni wachache.
 
Biashara za Tanzania ni zaidi ya uijuavyo npo mkoa flani kanda ya ziwa kikazi nilichoona wanaofanya biashara ni wazawa na wenyeji tu nikawauliza wageni wng mbona nyie amchangamkii fursa wakaniambia wengi wao washafungua biashara ila zikafa ili wateja waje kununua kwako inabidii uwe kabila lao au uwe umeoa au kuolewa na mtu wa kabila lao.
Si kweli
 
Kama wewe ni mjasiriamali au mfanyabiashara unaehangaika kupata wateja kutokana na ushindani basi naomba unisikilize kwa umakini sana, kwani katika makala hii nataka nikuonyeshe mbinu ambayo itakusaidia:-

  1. Kuua ushindani kwenye soko lako na
  2. Kuwafanya wateja wavutiwe kuja kununua bidhaa/huduma unayotoa kutoka kwako badala ya washindani wako.


Mbinu hii nimejifunza kwenye kitabu kiitwacho Blue Ocean Strategy (Stratejia za Bahari ya Bluu) iliyoandikwa na Chan Kim.

Ndani ya kitabu hicho anazungumza stratejia za aina mbili:
  1. Red Ocean (yenye kufatwa na 90% ya wajasiriamali wanaohangaika) na
  2. Blue Ocean (yenye kufuatwa na wachache wenye kuteka soko)

Tofauti ya stretejia (mbinu) hizi mbili inatokana na mfano ambao ametoa wa mapapa wenye kutafuta samaki.

Anasema mfanyabiashara ni kama papa mwenye kutafuta eneo lenye samaki samaki kwa ajili ya kula. Na samaki ni mteja wa mfanyabiashara yule.

Papa huyo akigundua eneo lenye samaki na kuanza kula wale samaki, baada ya muda fulani atapita papa mwengine kuja kula samaki katika eneo lile.

Na baada ya muda atakuja mwengine na mwengine hadi itafika wakati papa hao wanakuwa wengi kuliko idadi ya samaki na wanashtukizia kuwa wanatafunana wenyewe kwa wenyewe hadi damu kumwagika na kufanya rangi ya ile bahari kuwa nyekundu, na ndio maana ikaitwa red ocean strategy.

Huo ndio mfano wa wafanyabiashara wengi.

Utakuta mtu anaanzisha duka lake. Mambo yake yanaenda vizuri na anaanza kupata wateja.

Mtu mwengine anaona ile biashara na kusema “Kumbe biashara ile inalipa! Wacha na mimi nianzishe duka langu.”,

Anaanzisha duka lake na kuingia kwenye ushindani na yule aliyefungua duka la mwanzo. Baada ya muda, mwengine nae anaanzisha duka lake na kuingia kwenye ushindani na wale wawili.

Inafika wakati mlolongo wa watu wanafungua biashara kama ile na wanaingia katika ushindani hadi wanafikia 20, 30 hali ya kuwa idadi ya wateja bado ni ileile.

Inafika wakati wanajikuta wapo katika ushindani na biashara zote zinakuwa zinaumia.

Lakini Blue Ocean Strategy inakufanya wewe kujichomoa katika eneo lile la bahari na kuenda katika eneo jengine ambalo halina mapapa na kuwavuta samaki kuja kwako.

Na kwa vile lile eneo ni lako na ushaweka bendera yako hata papa mwengine akija hawezi kushindana na wewe kwa sababu eneo lile unalifahamu vizuri na samaki wale wamevutiwa na wewe kuliko mapapa wengine.

Vipi unaanzisha Blue Ocean Strategy?


Kwanza unatakiwa kufahamu kuwa kuna aina mbili za wajasiriamali au wafanyabiashara ambao ni
  1. Generalist na
  2. Specialist
Generalist ni mfanyabiashara anayewalenga wateja wote na Specialist ni mfanyabiashara anayelenga kundi fulani tu la watu na anafanya hivyo kwa sababu anajuwa kuwa hakuna mtu mwengine kama yeye anayeweza kutatua matatizo ya kikundi hilo kama yeye.

Ingawa watu wengi wanaona ni bora kuwa generalist kwa sababu soko lake ni kubwa, kitu wasichokifahamu kuwa kuwa generalist haitaji taaluma kubwa na soko lenye taalum ndogo linakuwa na ushindani mkubwa kuliko soko lenye taaluma ndogo.

Lakini ukiwa specialist unakuwa na uwezo wa kuwanasa watu wengi kwa sababu wewe unaonekana kuwa ni mtaalamu mbele ya macho ya soko lako na watu wanakufata wewe na wapo tayari kukulipa pesa zaidi kuliko yule mtu ambaye anaonekana anafanya kila kitu (generalist).

Na mfano mzuri ni kama madaktari.

Daktari ambaye anatibu wagonjwa wote ni generalist (MD) na daktari ambaye ni specialist anaona wagonjwa wachache lakini analipwa pesa nyingi na super specialist analipwa pesa nyingi zaidi kuliko wote.

Na kama wewe unataka kuua soko lako basi huna budi kuwa specialist au hata super specialist.

Mfano mimi (Dr Said) nilivyoanza biashara yangu niliingia katika soko la web design ambalo lilikuwa na ushindani mkubwa.

Nilianza kuwatengenezea tovuti wafanyabiashara, lakini nikaona nikijiweka kama Web Designer watu watanifananisha na Web Designer wengine na kunihoji kuhusu bei zangu kuwa juu kulinganisha na web designers wengine.

Hivyo sikujiweka kama Web Designer, na hata nilipokuwa nawapigia simu nilikuwa nikiwaambia

“Hello! Kwa jina naitwa Dr. Said Said, ninawasaidia wafanyabiashara kama wewe kutumia tovuti kunasa wateja kwenye mtandao. Na sasa hivi natoa consultation ya bure ya saa 1. Je ungependa kupata consultation ya bure kujifunza namna unavyoweza kutumia tovuti yako kunasa wateja?”


Wengi walikuwa wanajibu kuwa wangependa kupata consultation hiyo.

Na mimi nikienda kule nawaonyesha njia wanazoweza kutumia kupata wateja kwenye biashara zao kupitia website (tovuti) na sio jinsi wanavyoweza kumiliki website yenye kupendeza.

Najua wateja wangu hawajali sana kuhusu kumiliki website nzuri kama wanavyojali kupata wateja kupitia website zao.

Kujiweka kwangu kama Specialist (Online Marketer) kumenisaidia sana kupata projects nyingi zenye thamani (Blue Ocean Strategy) badala ya kujitangaza kama web Designer ambayo ni Red Ocean fani yenye ushindani mkubwa.

Mbinu hiyo na wewe unaweza kuitumia katika biashara yoyote ile.

Tuchukulie mfano wa biashara ya tour:

Muda si mrefu nimetoka kupigiwa simu na mmiliki wa kampuni ya tour na anataka ushauri vipi aitumie website yake kupata wateja.

Kitu cha mwanzo nilichomwambia ni kujiposition vizuri kwenye soko kama specialist badala ya generalist, ushauri huohuo ambao niliokupa wewe nilimpa yeye.

Badala ya kusema sisi ni tour company ambao tunapokea wageni kutoka nje sema sisi tunaspecialise kuwasaidia kundi fulani la watu kupata jambo fulani.

Kwa mfano nina rafiki yangu ambaye yeye amejikita kwenye motorbike safari.

Anasema “Sisi tunashughulika na Adventure safari za Motorbike tu! Kama wewe hujui kuendesha pikipiki hapa sio kwako”.

Kwa haraka haraka unaweza kuona kuwa atapata wateja wachache lakini kwa vile hana ushindani, wateja anaowapata wanamtosha sana na anatengeneza pesa nzuri sana na anaweza kuweka chaji ambayo washindani wake hawawezi kuweka kwa sababu washindani wake hawafanyi motorbike safari.

Swali unalotakiwa kujiuliza nia nijiweke vipi kwenye soko kama mtaalam wa kitu fulani ili niwavute watu waje kwangu?

Siku zote angalia wateja wako wana matatizo gani na kitu gani maalumu utafanya.

Usijaribu kufanya mambo mengi . Chagua kitu kimoja tu cha kufanya.

Muhimu hilo tatizo liwepo katika soko na watu wachache waweze kutatua hilo tatizo. Kama wewe ni miongoni mwa hao wachache ambao wanaweza kutatua tatizo hilo basi nakuhakikishia utapata wateja wengi na utakuwa huna ushindani katika biashara yako.

Ifanyie kazi na unijulishe umefaidika vipi na mbinu hiyo.

Kama umependa makala hii basi utapenda video yangu niliyotengeneza yenye kukuonyesha Jinsi ya Kutumia Mtandao wa Facebook na Instagram Kunasa Wateja (Bofya hapa).

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

Dr. Said Said
Mkurugenzi wa Online Profits

[Makala hii imechapwa na Abdallah Hemedi - Content Manager | Online Profits] .
Asante mkuu kwa ushauri mimi kuna sehemu nilifungua biashara ya kuuza juice maji soda sigara nk nyuma nilikuwa nauza sana baada ya mwezi mmoja kupita wamekuja watu wengine wamekuja kufungua biashara kama yangu ya ushindani umekuwa mkubwa sana mauzo yameshuka sana naomba ushauri nifanye aje nikabiliane na huu ushindani
IMG_20180610_193847.jpg
 
Kama wewe ni mjasiriamali au mfanyabiashara unaehangaika kupata wateja kutokana na ushindani basi naomba unisikilize kwa umakini sana, kwani katika makala hii nataka nikuonyeshe mbinu ambayo itakusaidia:-

  1. Kuua ushindani kwenye soko lako na
  2. Kuwafanya wateja wavutiwe kuja kununua bidhaa/huduma unayotoa kutoka kwako badala ya washindani wako.


Mbinu hii nimejifunza kwenye kitabu kiitwacho Blue Ocean Strategy (Stratejia za Bahari ya Bluu) iliyoandikwa na Chan Kim.

Ndani ya kitabu hicho anazungumza stratejia za aina mbili:
  1. Red Ocean (yenye kufatwa na 90% ya wajasiriamali wanaohangaika) na
  2. Blue Ocean (yenye kufuatwa na wachache wenye kuteka soko)

Tofauti ya stretejia (mbinu) hizi mbili inatokana na mfano ambao ametoa wa mapapa wenye kutafuta samaki.

Anasema mfanyabiashara ni kama papa mwenye kutafuta eneo lenye samaki samaki kwa ajili ya kula. Na samaki ni mteja wa mfanyabiashara yule.

Papa huyo akigundua eneo lenye samaki na kuanza kula wale samaki, baada ya muda fulani atapita papa mwengine kuja kula samaki katika eneo lile.

Na baada ya muda atakuja mwengine na mwengine hadi itafika wakati papa hao wanakuwa wengi kuliko idadi ya samaki na wanashtukizia kuwa wanatafunana wenyewe kwa wenyewe hadi damu kumwagika na kufanya rangi ya ile bahari kuwa nyekundu, na ndio maana ikaitwa red ocean strategy.

Huo ndio mfano wa wafanyabiashara wengi.

Utakuta mtu anaanzisha duka lake. Mambo yake yanaenda vizuri na anaanza kupata wateja.

Mtu mwengine anaona ile biashara na kusema “Kumbe biashara ile inalipa! Wacha na mimi nianzishe duka langu.”,

Anaanzisha duka lake na kuingia kwenye ushindani na yule aliyefungua duka la mwanzo. Baada ya muda, mwengine nae anaanzisha duka lake na kuingia kwenye ushindani na wale wawili.

Inafika wakati mlolongo wa watu wanafungua biashara kama ile na wanaingia katika ushindani hadi wanafikia 20, 30 hali ya kuwa idadi ya wateja bado ni ileile.

Inafika wakati wanajikuta wapo katika ushindani na biashara zote zinakuwa zinaumia.

Lakini Blue Ocean Strategy inakufanya wewe kujichomoa katika eneo lile la bahari na kuenda katika eneo jengine ambalo halina mapapa na kuwavuta samaki kuja kwako.

Na kwa vile lile eneo ni lako na ushaweka bendera yako hata papa mwengine akija hawezi kushindana na wewe kwa sababu eneo lile unalifahamu vizuri na samaki wale wamevutiwa na wewe kuliko mapapa wengine.

Vipi unaanzisha Blue Ocean Strategy?


Kwanza unatakiwa kufahamu kuwa kuna aina mbili za wajasiriamali au wafanyabiashara ambao ni
  1. Generalist na
  2. Specialist
Generalist ni mfanyabiashara anayewalenga wateja wote na Specialist ni mfanyabiashara anayelenga kundi fulani tu la watu na anafanya hivyo kwa sababu anajuwa kuwa hakuna mtu mwengine kama yeye anayeweza kutatua matatizo ya kikundi hilo kama yeye.

Ingawa watu wengi wanaona ni bora kuwa generalist kwa sababu soko lake ni kubwa, kitu wasichokifahamu kuwa kuwa generalist haitaji taaluma kubwa na soko lenye taalum ndogo linakuwa na ushindani mkubwa kuliko soko lenye taaluma ndogo.

Lakini ukiwa specialist unakuwa na uwezo wa kuwanasa watu wengi kwa sababu wewe unaonekana kuwa ni mtaalamu mbele ya macho ya soko lako na watu wanakufata wewe na wapo tayari kukulipa pesa zaidi kuliko yule mtu ambaye anaonekana anafanya kila kitu (generalist).

Na mfano mzuri ni kama madaktari.

Daktari ambaye anatibu wagonjwa wote ni generalist (MD) na daktari ambaye ni specialist anaona wagonjwa wachache lakini analipwa pesa nyingi na super specialist analipwa pesa nyingi zaidi kuliko wote.

Na kama wewe unataka kuua soko lako basi huna budi kuwa specialist au hata super specialist.

Mfano mimi (Dr Said) nilivyoanza biashara yangu niliingia katika soko la web design ambalo lilikuwa na ushindani mkubwa.

Nilianza kuwatengenezea tovuti wafanyabiashara, lakini nikaona nikijiweka kama Web Designer watu watanifananisha na Web Designer wengine na kunihoji kuhusu bei zangu kuwa juu kulinganisha na web designers wengine.

Hivyo sikujiweka kama Web Designer, na hata nilipokuwa nawapigia simu nilikuwa nikiwaambia

“Hello! Kwa jina naitwa Dr. Said Said, ninawasaidia wafanyabiashara kama wewe kutumia tovuti kunasa wateja kwenye mtandao. Na sasa hivi natoa consultation ya bure ya saa 1. Je ungependa kupata consultation ya bure kujifunza namna unavyoweza kutumia tovuti yako kunasa wateja?”


Wengi walikuwa wanajibu kuwa wangependa kupata consultation hiyo.

Na mimi nikienda kule nawaonyesha njia wanazoweza kutumia kupata wateja kwenye biashara zao kupitia website (tovuti) na sio jinsi wanavyoweza kumiliki website yenye kupendeza.

Najua wateja wangu hawajali sana kuhusu kumiliki website nzuri kama wanavyojali kupata wateja kupitia website zao.

Kujiweka kwangu kama Specialist (Online Marketer) kumenisaidia sana kupata projects nyingi zenye thamani (Blue Ocean Strategy) badala ya kujitangaza kama web Designer ambayo ni Red Ocean fani yenye ushindani mkubwa.

Mbinu hiyo na wewe unaweza kuitumia katika biashara yoyote ile.

Tuchukulie mfano wa biashara ya tour:

Muda si mrefu nimetoka kupigiwa simu na mmiliki wa kampuni ya tour na anataka ushauri vipi aitumie website yake kupata wateja.

Kitu cha mwanzo nilichomwambia ni kujiposition vizuri kwenye soko kama specialist badala ya generalist, ushauri huohuo ambao niliokupa wewe nilimpa yeye.

Badala ya kusema sisi ni tour company ambao tunapokea wageni kutoka nje sema sisi tunaspecialise kuwasaidia kundi fulani la watu kupata jambo fulani.

Kwa mfano nina rafiki yangu ambaye yeye amejikita kwenye motorbike safari.

Anasema “Sisi tunashughulika na Adventure safari za Motorbike tu! Kama wewe hujui kuendesha pikipiki hapa sio kwako”.

Kwa haraka haraka unaweza kuona kuwa atapata wateja wachache lakini kwa vile hana ushindani, wateja anaowapata wanamtosha sana na anatengeneza pesa nzuri sana na anaweza kuweka chaji ambayo washindani wake hawawezi kuweka kwa sababu washindani wake hawafanyi motorbike safari.

Swali unalotakiwa kujiuliza nia nijiweke vipi kwenye soko kama mtaalam wa kitu fulani ili niwavute watu waje kwangu?

Siku zote angalia wateja wako wana matatizo gani na kitu gani maalumu utafanya.

Usijaribu kufanya mambo mengi . Chagua kitu kimoja tu cha kufanya.

Muhimu hilo tatizo liwepo katika soko na watu wachache waweze kutatua hilo tatizo. Kama wewe ni miongoni mwa hao wachache ambao wanaweza kutatua tatizo hilo basi nakuhakikishia utapata wateja wengi na utakuwa huna ushindani katika biashara yako.

Ifanyie kazi na unijulishe umefaidika vipi na mbinu hiyo.

Kama umependa makala hii basi utapenda video yangu niliyotengeneza yenye kukuonyesha Jinsi ya Kutumia Mtandao wa Facebook na Instagram Kunasa Wateja (Bofya hapa).

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

Dr. Said Said
Mkurugenzi wa Online Profits

[Makala hii imechapwa na Abdallah Hemedi - Content Manager | Online Profits] .
Safi sana.
 
  • Wateja wako wako mtandaoni.
Kutokana na takwimu za TCRA Zaidi ya watanzania milioni 25 ni watumiaji wa intaneti. Hii ina maana kuna kundi kubwa la watu ambao unaweza kuwafikia kupitia mtandao na wakaijua biashara yako. Gharama za intaneti zimeshuka, simu janja zimekuwa nyingi, watu wengi wanapata taarifa muhimu kupitia mitandao kwanza kuliko TV na radio. Je, ni wateja kiasi gani unataka kuongeza kwenye biashara yako? Njia gani umepanga kuwafikia wateja wapya? Ni wakati muafaka wa kutumia fursa hii kujipambanua mtandaoni wewe na biashara yako ili kutafuta masoko na kuongeza mauzo.
Mfano ni MakJuice jinsi alivoweza kujua wateja wake wako mitandaoni na amefanikiwa kukuza biashara yake kwa kutumia Instagram tu.

  • Washindani wako kibiashara wanatafuta wateja mtandaoni
Kama nilivyosema hapo juu intaneti inaongeza fursa kwa biashara kuwafikia wateja kwa gharama nafuu Zaidi, je unadhani washindani wako kibiashara wamelala hawalijui hilo? Hapana wako wanatafuta wateja na wanafanya matangazo ya biashara kwa wateja ambao wewe umewapa mgongo, wakati wewe ukisubiri hadi mtu apite mbele ya duka lako ndio ajue biashara yako wengine tayari washajua namna ya kuwafikia wateja wa mbali Zaidi na kuwavuta kwenye biashara zao.

  • Washindani wako hawatumii mitandao kutafuta wateja
Sio wewe peke yako ambae hujaona fursa ambayo intaneti imeleta katika kukuza biashara, mko wengi sana. Bahati nzuri wewe unasoma uzi huu ni wakati wa kuchukua hatua, wakati wengine wakisubiri wapita njia wewe fanya matangazo mitandaoni. Tafuta mtaalamu akutengenezee strategy ya mtandaoni na uifuate. Watangazie watu kuhusu biashara yako waonyeshe bidhaa zako, waambie bei zako na wavutie kwenye biashara yako.

  • Gharama nafuu kufanya matangazo.
Intaneti imerahisisha gharama za matangazo. Intaneti imefanya iwe rahisi kuwafikia watu wengi kwa gharama nafuu kuliko media yeyote ile iwe TV, radio na hata gazeti. Gharama unayoweza tumia kufanya matangazo kwa televesheni kwa siku moja unaweza itumia kwenye mtandao kwa mwezi mzima na ukapata matokeo chanya Zaidi. Unasubiri nini? Wakati ndio huu.

  • Taarifa (data) muda wote kuhusu wateja
Uzuri wa kutumia intaneti kufanya masoko ni uwezo wa kupata taarifa za wateja wako. Utaweza kujua wateja wanapenda nini, wana kipato kiasi gani, wanafanya kazi gani gani, rafiki zao ni akina nani, wanafanya nini mtandaoni na mambo mengine mengi sana. Taarifa hizi zina umuhimu sana kwa biashara maana zitakuwezesha kujua ni namna gani kuwafikia wateja wako na kwa wakati gani na kwa tangazo la aina gani.

Baada ya kusema yote hayo kama una biashara na una swali lolote kuhusu matumizi ya mitandao kwa biashara yako uliza hapa chini nami nitakujibu bure kabisa.

Na kama una biashara unahitaji wataalamu wakukuandalia strategy ya mtandaoni na kukutengenezea matangazo ya biashara ya mtandaoni na kuwafikia wateja wahusika na kukuza biashara yako basi PM yetu iko wazi pia unaweza piga namba hii 0762084961.
 
Service zetu ni kama zifuatazo.
Tutafanya online auditing ya biashara yako kujua una perform vipi online.
Tutafanya audience analysis ili kujua wateja wako wako wapi na vipi unaweza kuwafikia kwa matangazo gani.
Tutakutengenezea matangazo ya biashara ya picha na video yanayoendana na audience analysis tuliyoifanya.
Tutakusaidia kukuza account zako za social media
Tutafanya Copywriting ili kuweza kuwavutia wateja kwenye biashara yako.
Tuta manage account zako za social media.
Karibu tukuhudumie 0762084961.
 
HUENDA WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA
Tunashukuru mkuu, vyote hivyo tumeshakamilisha.
 
Back
Top Bottom