Fahamu mbinu zilizotumika kuwadhibiti watumwa kipindi cha utumwa na jinsi zinavyofanya kazi mpaka sasa

Na watu walivyo yakumbatia haya madini ya wazungu na waarabu mpaka utadhani wao ndo waanzilishi
 
Ndugu usihishi kwenye denial,
UK,US,na Ulaya kwa ujumla zimeendelea,na zitaendelea kuwa vinala katika kila sekta hapa duniani,wewe ukiamua kujificha usijifunze Elimu yao,kizungu Chao,kigerman Chao,kitendo Chao,kifaransa Chao,wewe ndio utakae poteza.
Ni akili ndogo Karne ya 21 unataka mtoto akuzwe kama mtoto wa kijiji,mkoa fulani ajue lugha yake ya asili tu,kisambaa,kuchagua,kimakua,kimakonde,harafu ije imsaidie nini?
Inawezekana kabisa mtoto akajua utamaduni wake,lugha ya kwao na akpiga ngeli iliyonyooka ambayo ndio lugha ya ulimwengu itamuwezesha kuwa Raia wa Dunia,
Mimi nimekaa karibu mikoa yote ya TZ,najua Kisukuma,kichaga,kigogo,kinyakyusa,kihehe,nikienda vijijini sipati shida kuomba maji,sasa hebu fikiria mtoto wako ajue kizungu,kifaransa,kigerman,kidschi,hii Dunia Kwake itakuwa uwanja wa kujidai.
Ukweli mchungu ni kwamba kizungu ndio kiswahili Cha Dunia lazima ukijue,kizaramo chako hakina bao huko duniani usijidanganye,
Kuhusu majina ya asili na ya kizungu,unaweza ukaitwa chakubanga au mroso au mwakanjuki,na ukabaki mkonga na fikra mfu,kukataa jina la kizungu sio ishara kwamba wewe umeelimika,Wala kuwa na jina la hasili sio kweli kwamba wewe umejitambua ni Swala la fikra zako,
Wazee wetu waliishafafanua huu mkanganyo kwenye vitabu kama Is it possible Cha ole kulleti,No longer at ease Cha ngugi wa thiongo,hii karne ya 21 haitakiwi kuwa na Mawazo waliyokuwa nayo wazee wetu Miaka ya 60!
China wanatumia majina ya asili,Taiwan,hongkong,Philippine,kutokana na maingiliano na mwingereza wanatumia majina ya kikristo,mbona wameendelea sana na wapo ulimwengu wa kwanza.
Kuwa na jina la kizungu,kiarabu hakukuzuii wewe kuwa na maisha bora kama ya Obama,Trump,Tafuta kitabu Cha Ben Carson gifted hands,usome kuhusu dakitari wa kwanza Tena mweusi,nigger kufanya Operation ya kutenganisha mapacha walioungana vichwa.
Utagundua yote uliyoyasema sio kikwazo kwa mtoto wa karne 21!
Sasa hv tunawaza artificial intelligence,sio kuweza kuongea kisambaa vzr,harafu nigundue nini?
 
Mimi ndo nashangaaga watu wanasema Yesu katufia msalabani kubeba dhambi zetu watu wameteswa kuliko ata Yesu mwenyewe
Kwa avata yako hii mkuu unajua mengi sana ebu mwagika kidogo basi>>>>> mkuutafadhali. make si bure uliitoa wapi kwanza!!!
 
Siwapendi wazungu, Wala hawajawahi kumpenda mtu mweusi.
siwapendi Waaraabu, hata tigonyeupe akawaambie, wametudhalilisha sana, nita lipiza tu kisasi
Banaeee!! inawezekana Mzungu kayakuza tu haya Mambo bana weeee!! ili kutudhoofisha tu! kisaokolojia/ kifikra kwa sababu km walichukua waafrica kirahisi ivo hao kina stanley. Karl peters! nk

walikuja kupeleleza nini kwa watu wanyonge??? ili wapate Makoloni yao?? unapepeleleza nchi unayo ijua vyema?? walikuwa wanajibebea tu humu watumwa? hiyo moja! nchi ilikuwa haina watu!

Pili; hivi miafrica ilivo mikakasi kweli kabisaaa bila kuwasha Mwenge ulichukue kirahisi tu!! asee utaliua!! na haliendi popote!! jitu km tyson ulibebe kirahisi hivo??kweli...Watanzania bila kuwawashia Moshi wa mwenge hawatawaliki!

Utumwa unatia shaka walichukua wanawake, vizee na watoto tu! wakavipiga picha basi!! Mkuryaa kabisa eti umfunge kamnyororo aende kirahisi tu km MBuzi!! hapana turudie Historia upyaa hapo nakataaa!


Wazungu ni waongo sana! msiwaamini!! Lengo lao ni kuwanyang'anya waafrica weusi wa asili wa Bara America ..ule uasilia wao na kuwapachika wahindi wekundu kmwatu asilia wa bara la America!!!

km Wahindi wekundu ndo wa asili pale America yoote ile! Dola ya Maya ilitokea wapi pale america??...na hao mbona hawachukuliwi km watu asilia wa hapo? wkt ni weusi!! Bara america ni mali yetu weusi!

Aboriginals walifikaje kuleee wale wameshindwa kuwaua!! waafrica wa india walifikaje kule??? na India hawakununua watumwa weusi ??..wazungu waongo sana! INDIA AMERICA YOOTE NI MALI ZETU WAACHE UONGO!

Nina meengi ila ngoja nikomee hapa.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…