Fahamu Mgogoro wa Taliban na Afghanistan

Hizi ni hadithi tu za uongo...Marekani wanajiona smart sana kwa sababu watu wengi wameacha ku-reason.
1: kulipua marekani si kazi rahisi na je hilo kombola Osama alikuwa nalo moja tu..mbona hajalipua sehem nyingine?
2: marekan alitoa mafunzo ya kijeshi na kulipa mishahara, yeye alipata nini?..There is no free lunch.
3: kakaa miaka 20 alaf anaondoka, kaiachaje kiuchumi au atawasingizia taleban
#chanjo kama haitibu, yanini sasa
 
Shukrani kwa majibu mazuri JF inaitaji watu kama wewe, kaswali kangu ka mwisho, nini mtazamo wako juu ya bakwata unazani inalinda na kutetea uisilamu na waisilamu kama inavyotakiwa?
Sipendi kugeneralise wapo pia wachamungu Bakwata, ila wengi wachumia Tumbo. Misaada na Miradi yote ya waisilamu wanapewa wao, Wana shule za kutosha na Miradi kibao ila usimamizi mbovu. Ni type ya watu ambao wapo tayari kuvunja Darasa watoe frame za maduka.
 
Kipindi marekani mwanzoni mwa miaka ya 2000 anatafuta ushawishi wa kuvamia Afghanistan na Iraq, Ulaya ikawa mabomu yanalipuka tu, kama Bomu la Hispania la treni na kuua watu kibao.

Baada ya Kupata ushawishi na Nato kumuunga Mkono eti na mabomu yakaacha kulipuka.
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] type ya watu ambao wapo tyr kuvunja darasa watoe frame za maduka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] type ya watu ambao wapo tyr kuvunja darasa watoe frame za maduka
Nenda Al haramain ile barabara sijui ndo shaurimoyo mbele ya stendi ya mwendokasi kama unaenda ilala, kuna upande mmoja wametoa frame madrasa yote.
 
Upo sawa mkuu big up umetoa mguu mmoja hadi mwingine kwa usahihi kabisa maana mimi huwa nawafatilia hawa wahuni toka kitambo mno...
 
Thanks alot umechambua vizur sana makala hii... uwe na moyo huohuo wa kutujuza vitu
 
Hakuna malengo yaliyofikiwa.ni sawa na kwenda kumkamata mfuta bangi alafu muuzaji anaendelea kubaki.kwa akili ya kawaida tu ni lazima wavutaji wengine watapatikana maana muuzaji bado yupo
 
Nikajua kuna cha maana, kumbe upuuzi tu.
 
Wale wahuni tu, sa hv wanafanya majaribio ya chanjo kupitia sisi..ikibuma wanakuja na excuse
 
waarabu ni watu wako ajabu sana na imani zao za kuuana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…