Fahamu mji wa Marangu

Mongozo

Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
23
Reaction score
16
Je wajua ni kata ambapo ziko mbili yani Marangu Mashariki na Marangu Magharibi kila moja yenye vijiji na vitongoji vyake ambapo imezungukwa na Kata za Mamba kwa upande wa Magharibi na Kusini na Kata za Kilema kwa Upande wa Mashariki na Kusini na hupatikana ndani ya jimbo la Vunjo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro.

Wa Marangu huzungumza Kivunjo kinachozungumzwa kote na kata za Vunjo yani (Kirua, Kilema, Marangu, Mamba na Mwika) ambapo lugha ya Kivunjo wanasikilizana na Kata za Old Moshi na Mbokomu kwa mbali pia.

Marangu ilijipatia umaarufu kwa kutoa kiongozi wa mwisho enzi za Umangi, ambapo alishinda uchaguzi ndani ya Vunjo na ndani ya Wilaya ya Moshi iliyokua na Mamangi Hodari sana wakitokea Old Moshi na Kibosho akaiwakilisha Moshi akapambanishwa na Mamangi wengine wa Rombo, Hai, Siha akashinda na kuwa Paramountain Cheaf (Mangi Mkuu)makao makuu pale Moshi Mjini. KDC (Kilimanjaro District Council) Pindi Mangi mkuu alipotokea Marangu alitamani Marangu ndo pawe makao makuu ya vunjo lakin hakufanikiwa kwa kiasi kikubwa na pindi serikali ilipokabiziwa kwa wa Tanganyika makao makuu yakapelekwa pale Himo.

Kwa upande mwingine Marangu imekua maarufu kama wilaya ya Moshi inavyofahamika zaidi na kumeza wilaya nyingine yani. Mfano Wakaazi wa Rombo, Hai, Mwanga na Siha badala ya kusema Kilimanjaro wao husema wanatoka Moshi bila kujua Moshi ni Wilaya tangu ma Babu na Ma Babu.

Tukija kwa Jimbo la Vunjo Wakaazi wa Kirua, Kilema, Mamba na Mwika husema hutokea Marangu bila kujua Marangu ni Kata tangu enzi za Umangi ambapo pia Kirua, Kilema, Mamba na Mwika nao walikua na Ma Mangi.

Pia Marangu imejizolea umaarufu kabla ya Mkoloni kwa kua Dola yenye nguvu ki uchumi pamoja na Wamachame huko Hai.

πŸ”‡

 
Wanaposema 'mangi' wanamaanisha nini? Mana nimeskia sana maeneo hasa ya DSM, Tanga, Moshi Mjini, Moro, hata kanda ya ziwa pia wakiita wenye maduka ambao ni Wachaga kuwa ni 'Mangi'
 
Wamarangu hupenda kusifiwa na kujiona matajiri.Ila hawa wa siku hizi ni bure kabia.Sio wa kiume wala wa kike.Wote bure kabisa! Warombo wamewashinda kwa ujinga wenu
Marangu ni kama wahaya. Sifa kibao. Halaf si wachakarikaji.

Wachaga wapo Rombo, Kibosho. Hizi sehem mbili wanapiga kazi kama punda. Na mafanikio yanaonekana
 
Wamarangu hupenda kusifiwa na kujiona matajiri.Ila hawa wa siku hizi ni bure kabia.Sio wa kiume wala wa kike.Wote bure kabisa! Warombo wamewashinda kwa ujinga wenu
Unaposema Wamarangu tujue ni wa wapi, wa Mashariki au Magharibi. Pili huwezi fananisha Wilaya na Kata. Yani Rombo ni Wilaya na Marangu ni Kata. Labda ufananshe Rombo na Moshi
 
Marangu ni kama wahaya. Sifa kibao. Halaf si wachakarikaji.

Wachaga wapo rombo.. kibosho.. hizi sehem mbili wanapiga kazi kama punda. Na mafanikio yanaonekana
Huezi fananisha Wamarangu na Wahaya. Labda Wahaya na Wachaga apo sawa. Kaa ukijua Marangu ni Kata tuu, labda upande mwingine useme wa Vunjo na Wahaya japo haileti maana sababu pia wa vunjo ni wachaga na ipo na kata nyingine pia sio Marangu tu ingekua wa Marangu hawapigi kazi wasinge trend hvyo. We jiulize kata mbili tu lakini inashindanishwa na wilaya.
 
Hajui kitu huyo. Tafuta kata yoyote ya kijijini Tanzania zenye wazawa kama sio East Africa. Narudiaaa Kata ya Kijijini na wala sio kufanansha na wilaya au mji mdogo yenye maendeleo kama Marangu Mashariki na magharibi kwa mbali ambao wanakimbia ni kata za Kibosho na baadhi kata za Machame zilizo Wilayani Hai.
 
Marangu ni kama wahaya. Sifa kibao. Halaf si wachakarikaji.

Wachaga wapo Rombo, Kibosho. Hizi sehem mbili wanapiga kazi kama punda. Na mafanikio yanaonekana
Ila mkuu rombo sindo kuna wanaume walevi mpaka wanashindwa kuwa nyandua wake zao au!
 
Wamarangu ni zamani siku hizi warombo na wakibosho ndio habari ya mujini!
halafu wanawake wenu wawe walioolewa au hawajaolewa ni aibu tupu kwa ufuska!
 
Kwendrwaaaaaaaaaaaaaa huko!

marangu kuna zile nyumba zile zile zimeongezeka chache mno!

Ubishoo ndio umekuwa jadi yenu!

Kwanza kumbuka marangu sio mji na hakuna mji we boya.
 
Wamarangu ni zamani siku hizi warombo na wakibosho ndio habari ya mujini!
halafu wanawake wenu wawe walioolewa au hawajaolewa ni aibu tupu kwa ufuska!
Unapokwama ni kufananisha Wilaya na Kata. Marangu ni Kata na Rombo ni Wilaya. Tafuta Kata ndani ya Wilaya ya Rombo fananisha na Marangu. Hiyo Kibosho pia ni Habari ya mujini sema Marangu itasimama vilevile tangu enzi za mzee wetu Mariale nazani unajua hilo
 
Kwendrwaaaaaaaaaaaaaa huko!
marangu kuna zile nyumba zile zile zimeongezeka chache mno!
Ubishoo ndio umekuwa jadi yenu!
Kwanza kumbuka marangu sio mji na hakuna mji we boya.
We umefika Marangu lin? Usikute umeishia Kilema, Mamba au Mwika maana nao wamejisahau wanajiita Marangu afu ndo wanaharibu sana sifa ya Marangu. Soma post vizur, Nimesahihisha Marangu sio Kijiji wala mji ni Kata yenye Vijiji ndani yake.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…