Fahamu mji wa Marangu

Marangu ni kama wahaya. Sifa kibao. Halaf si wachakarikaji.

Wachaga wapo Rombo, Kibosho. Hizi sehem mbili wanapiga kazi kama punda. Na mafanikio yanaonekana
Wamarangu wengi ni teachers, wakibosho na warombo na wamachame % kubwa ndio matajili wa hapa mjini

Note: freshoo na harshoo wana hillwater, kiwanda cha chaula ya kuku na mifuko, mengi sinahaja yakuelezea anajulikana hawa wote ni wapalestana ( wamachame) Rombo kuna marenga investiment n.k unaweza shusha list hapa chini
 
Uko rights sana.
 
We umefika Marangu lin? Usikute umeishia Kilema, Mamba au Mwika maana nao wamejisahau wanajiita Marangu afu ndo wanaharibu sana sifa ya Marangu. Soma post vizur, Nimesahihisha Marangu sio Kijiji wala mji ni Kata yenye Vijiji ndani yake.....
Sikujua kama Marangu bado kuna wajinga kama wewe. What a shame!
 
Narudia tena, unapoongelea Marangu kaa ukijua ni Kata, sasa we uoni huo ni uzwazwa kupambanisha Rombo na Kata. Rombo labda ufananishe na Moshi kwa uwezo wa wapambanaji. Kaa ukijua Marangu (Vunjo) ipo Halmashauri ya Moshi Kibosho nayo iko Halmashauri Wilaya ya Moshi. Kwa upande wa Moshi tunaeza sema Kata zenye maendeleo ya juu ni Marangu, Kibosho
Sikujua kama Marangu bado kuna wajinga kama wewe. What a shame!
Kwani wajinga wengine wa Marangu wakoje, na ni wa Marangu Mashariki au Magharibi? Napenda kujua wewe ni mwerevu wa wapi?
 
Ni hivi, katika mkoa wa Kilimanjaro palikua na majimbo kabla ya mkoloni na Moshi ndo ilikua juu yani yani kuanzia mpakani mwa Hai pale Kibosho hadi pale Mwika mpakani mwa Rombo, na ndani ya Moshi tawala za Vunjo zilikua na umoja mzuri kwani walitumia lugha moja...yako mengi sanaa . Ila kwa upande wa ualimu hii ni kutokana walijengewa chuo cha ualimu pale hata kibosho kipo basi hii ilitoa walimu wengi wasomi pia kuwepo kwa HQ ya KINAPA pale, wengi wa marangu wamejikita kwenye utali. .. ............
 
Wamarangu hupenda kusifiwa na kujiona matajiri. Ila hawa wa siku hizi ni bure kabia. Sio wa kiume wala wa kike. Wote bure kabisa! Warombo wamewashinda kwa ujinga wenu
ni ukweli uliobayana sasa kilimanjaro inabebwa na Rombo
 
Marangu nilikuwa naisikia tangu zamani late 70s nikiwa huku UPARENI.Mostly wapare walokuwa wakisimulia kuwa Wachaga wa Marangu wamesoma sana!
 
Wamarangu hupenda kusifiwa na kujiona matajiri. Ila hawa wa siku hizi ni bure kabia. Sio wa kiume wala wa kike. Wote bure kabisa! Warombo wamewashinda kwa ujinga wenu
Ngoma ikivuma sana hupasuka!
 
zamani marangu walikuwa wanajidai kuwa ktk uchagani kwao ndio no.1 kwa makazi bomba!
Lakini siku hizi nenda Rombo, Kibosho, Uru na Machame ndio habari ya mjini!
Na hii inatokana na vijana wa maeneo hayo kuinuka sana ktk biashara ie kariakoo na |Mwenge ni wakibosho na wa Rombo na mikoa mingi sana wameibuuka mno hivyo kuchochea maendeleo kwao!
 
Kwendrwaaaaaaaaaaaaaa huko!

marangu kuna zile nyumba zile zile zimeongezeka chache mno!

Ubishoo ndio umekuwa jadi yenu!

Kwanza kumbuka marangu sio mji na hakuna mji we boya.
maboya watupu nyie, ilikuwa babu na baba zenu sio nyie mabishow!
Ujanja wa pesa hakuna! zaidi ya kufungia suruali tumboni! 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…