Fahamu Mmea huitwao MCHUNGA ( DANDELION) inavyotibu maradhi sugu.

Fahamu Mmea huitwao MCHUNGA ( DANDELION) inavyotibu maradhi sugu.

chama mpangala

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
549
Reaction score
841
Screenshot_20240204-224238.png
Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua.
MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile;
  • Matatizo ya mifupa
  • kukosa damu
-matatizo ya mkojo
-kisukali
- Figo
-Ini
-Kansa ya damu
  • kansa ya utumbo mpana
  • kansa ya kongosho
  • kansa ya matiti

MATUMIZI
Tengeneza chai kutokana na Mizizi yake na kunywa mara 2 kwa siku.
Tumia Unga wa Mizizi kupaka kwenye ngozi yenye shida.
Kunywa kinywaji cha juice ya majani au Mizizi ya MCHUNGA.
 

Attachments

  • Screenshot_20240204-224219.png
    Screenshot_20240204-224219.png
    328.3 KB · Views: 46
  • Screenshot_20240204-224256.png
    Screenshot_20240204-224256.png
    300.6 KB · Views: 43
  • Screenshot_20240204-224314.png
    Screenshot_20240204-224314.png
    245.9 KB · Views: 28
Huu ulioutuma sijui ni wa wapi, au ndo wa kizungu?
 
View attachment 2894441Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua.
MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile;
  • Matatizo ya mifupa
  • kukosa damu
-matatizo ya mkojo
-kisukali
- Figo
-Ini
-Kansa ya damu
  • kansa ya utumbo mpana
  • kansa ya kongosho
  • kansa ya matiti

MATUMIZI
Tengeneza chai kutokana na Mizizi yake na kunywa mara 2 kwa siku.
Tumia Unga wa Mizizi kupaka kwenye ngozi yenye shida.
Kunywa kinywaji cha juice ya majani au Mizizi ya MCHUNGA.
Lea investigators brochure, siyo maeno ya kijiwe hapa bila ushidi wa kisayansi.......
 
Back
Top Bottom