Fahamu Mmea huitwao MCHUNGA ( DANDELION) inavyotibu maradhi sugu.

chama mpangala

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
549
Reaction score
841
Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua.
MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile;
  • Matatizo ya mifupa
  • kukosa damu
-matatizo ya mkojo
-kisukali
- Figo
-Ini
-Kansa ya damu
  • kansa ya utumbo mpana
  • kansa ya kongosho
  • kansa ya matiti

MATUMIZI
Tengeneza chai kutokana na Mizizi yake na kunywa mara 2 kwa siku.
Tumia Unga wa Mizizi kupaka kwenye ngozi yenye shida.
Kunywa kinywaji cha juice ya majani au Mizizi ya MCHUNGA.
 

Attachments

  • Screenshot_20240204-224219.png
    328.3 KB · Views: 46
  • Screenshot_20240204-224256.png
    300.6 KB · Views: 43
  • Screenshot_20240204-224314.png
    245.9 KB · Views: 28
Huu ulioutuma sijui ni wa wapi, au ndo wa kizungu?
 
• Habari ya Tanga mkuu, 🤔🤔.
 
Lea investigators brochure, siyo maeno ya kijiwe hapa bila ushidi wa kisayansi.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…