Fahamu namna timu ambazo hazitaanzia hatua ya awali mashindano ya klabu bingwa Afrika zinavyopatikana

kwa kuongezea, kwa timu zinazoshiriki CCL msimu huu wa 23-24 Simba ni ya 7!

juu yake kuna Raja na Berkane ambao hawatashiriki CL kulingana na nafasi walizopo kwenye ligi yao ya ndani, hivyo ni sahihi kusema Simba yupo namba 7 kwa timu zilizopo CL
Simba ni ya 7, na juu yake kuna Zamalek na Raja ambazo hazishiriki champions League, hivyo kwa timu za CL Simba wanashika namba 5. Kuna uwezekano mkubwa Simba ikainzia round ya pili. Mwaka huu kila timu shiriki lazma iwe na timu ya kike, zipo timu zitashindwa na usishangae hata Yanga anaweza kuanzia round ya pili
 
Hapa Yanga mwenzangu bora ungenyamaza tu umekuja kutudhalilisha Yanga wote. Unazidi kuwapa kichwa jamaa . Ranks zinaonesha wameshika nafasi ya ngapi. Au unataka tu kukazia watucheke zaidi?
 
[emoji120][emoji120] Mkuu wewe ni mpenzi wa mpira, nashukuru kwa masahihisho hapo kwenye raundi ya timu 8. Ni vigezo vipi vitakavyotumika kuzipata timu za kucheza hiyo raundi ya timu 8?
sio kwa ubaya lakini,, kwann asiwe yanga sasa, awe simba??
 
Hapa Yanga mwenzangu bora ungenyamaza tu umekuja kutudhalilisha Yanga wote. Unazidi kuwapa kichwa jamaa . Ranks zinaonesha wameshika nafasi ya ngapi. Au unataka tu kukazia watucheke zaidi?
Sasa kuwapa kichwa kivipi? Kama wamefanya vizuri ni haki yao kujivunia sasa kwanini tunaonee wivu kwa kusema nawapa kichwa? Na sisi ndio tupambane tufike mbali klabu bingwa ili tutambe na rank.
Kwenye rank ambayo itakayotumika katika mashindano ya msimu unaoanza Simba ipo nafasi ya 9.
 
Nadhani huyu ndio ka summarize vyema kabisa uzi wa mleta mada.
 
But mbona naona kwenye rank wapo nafasi ya 7 na teams zinazocheza Super League hazitashiriki hatua za mtoano?
 
Naomba kupewa ufafanuzi kuhusu kilichoandikwa!
Kilichomaanishwa ni kwamba baadhi ya timu kutoanzia hatua ya awali, itatokana na idadi ya timu zitakazoshiriki michuano ya klabu bingwa.
Jumla za timu zinazotakiwa kushiriki michuano ya klabu bingwa ni timu 64, kinachosababisha timu zingine zisianzie hatua ya awali ni idadi ya timu kutotimia 64.

Mfano ikitokea timu zipo 60 ni lazima timu 4 zisianzie hatua ya awali kwasababu kutoka 64 hadi 60 zimepelea timu 4.

Mfano ikitokea timu zinazoshiriki klabu bingwa zipo 50, ni lazima timu 14 hazitoanzia hatua ya awali kwasababu kutoka kwenye timu 64 hadi 50 zimepelea timu 14.

Ikitokea timu 64 zinashiriki klabu bingwa, basi timu zote zitaanzia hatua sawa sawa kwasababu hakuna upungufu wa timu. Uwingi na uchcche wa timu hutokana na idadi ya wanachama wa CAF watakaoshiriki michuano ya kimataifa ngazi ya vilabu
 
[emoji120][emoji120] Mkuu wewe ni mpenzi wa mpira, nashukuru kwa masahihisho hapo kwenye raundi ya timu 8. Ni vigezo vipi vitakavyotumika kuzipata timu za kucheza hiyo raundi ya timu 8?
maana yake zitacheza 8 ili kupata 4 ambazo zitaungana na 60 kutengeneza 64,.....
 
mpk sasa ni ya 9 mkuu, ila ukiondoka berkane, raja, (labda na hao zamaleki maana last month naangalia ligi yao ilikua bado) basi simba atakua wa 6!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…