Fahamu namna ya ukadiriaji tofali katika ujenzi

Ili niweze kufanya makaridio inabidi niwe na ramani yenye vipimo, kama ni vyumba viwili tu vilivyoungana vyenye urefu na upana wa futi kumi kumi utahitaji uwe na mawe ya ujazo wa 4m³ . Kina cha msingi futi 2, upana futi 1
Asante sana
 
Ili niweze kufanya makaridio inabidi niwe na ramani yenye vipimo, kama ni vyumba viwili tu vilivyoungana vyenye urefu na upana wa futi kumi kumi utahitaji uwe na mawe ya ujazo wa 4m³ . Kina cha msingi futi 2, upana futi 1
Mkuu unaweza kukutumia ramani ya nyumba yenye vipimo na ukafanya makadirio ya tofali!!??
 
Mkuu unaweza kukutumia ramani ya nyumba yenye vipimo na ukafanya makadirio ya tofali!!??
Ndio naweza ila usije mikono mitupu, mana nimetoa elimu bure ili kila mmoja aweze kufanya mwenyewe
 
mkuu vp kuhusu ukadiriaji wa bati?
 
mkuu vp kuhusu ukadiriaji wa bati?

Click hiyo link hapo juu then soma comment no 6 utapata idea, ila kama ni kwa hiki chumba cha uzi huu idadi ya bati ni Bati 12
 
Jioni tutaendelea na makadirio ya bati pamoja na mbao, subscribe ili upate notification ya new content
 
haya bana
 
Yah it makes sense japo sasa tiresome kwa nyumba kubwa yenye vipatition vingi
Na ndo maana QS wanapiga hela kwa vile wapo wanaoona hii ni kazi kubwa.

Kifupi unatafu jumla ya eneo la kuta zote kwenye nyumba then unagawa kwa eneo la tofali moja.

Au kwa njia nyepesi kama alivyofanya mtoa mada, jumlisha urefu wa kuta zote za nyumba, then uzidishe mara kimo cha kuta (assumption ni kwamba kuta zote zina kimo sawa au kimoja). Hapo utakuwa umepata jumla ya eneo la kuta za nyuma nzima, then gawa kwa eneo la tofali moja.
 
Hizo tofali unazipanga hivi hivi bila Mortar??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…