Asante sanaIli niweze kufanya makaridio inabidi niwe na ramani yenye vipimo, kama ni vyumba viwili tu vilivyoungana vyenye urefu na upana wa futi kumi kumi utahitaji uwe na mawe ya ujazo wa 4m³ . Kina cha msingi futi 2, upana futi 1
Mkuu unaweza kukutumia ramani ya nyumba yenye vipimo na ukafanya makadirio ya tofali!!??Ili niweze kufanya makaridio inabidi niwe na ramani yenye vipimo, kama ni vyumba viwili tu vilivyoungana vyenye urefu na upana wa futi kumi kumi utahitaji uwe na mawe ya ujazo wa 4m³ . Kina cha msingi futi 2, upana futi 1
Nije na sh ngapi ya kukushukuru!¡???Ndio naweza ila usije mikono mitupu, mana nimetoa elimu bure ili kila mmoja aweze kufanya mwenyewe
14x12m nyumba ya bajeti nzuri tuMkuu Njuka II hivi nyumba yenye vyumba 3 vya kulala (kimoja kiwe masta), sitting room, dinning, jiko, store na publi toilet, kwa wastani inatakiwa iwe na ukubwa gani? Yaani urefu mita ngapi na upana mita ngapi?
njukaAsante kwa kushukuru
ebusiness.excel@gmail.comnjuka
embu tutupie namba zako bas tukupaye kirahisi mr njuka
mkuu vp kuhusu ukadiriaji wa bati?Habari,
Leo nimeona niwaelimishe ndugu zangu namna ya kujua idadi ya tofali zinazohitajika katika ujenzi wa nyumba.
Katika somo hili, tutatumia ramani ya chumba kidogo cha mita 3 kwa mita 3, chenye madirisha mawili (urefu mita 1.2, upana mita 1) na mlango mmoja (urefu mita 2.4, upana mita 0.9)
Kawaida vipimo vya tofali ni 0.450m urefu, 0.230m upana na 0.120/0.125/0.150m unene.
HATUA ZA UKADIRIAJI
1. Tafuta jumla ya urefu wa kuta zako ( Total Length of the wall)
Tukitumia mfano wa chumba chetu hapo juu, jumla ya urefu wa kuta zote (L) utakuwa
L= 3m+3m+3m+3m
L= 12m
2. Tafuta idadi ya tofali zitakazoweza kujenga mstari (kozi) mmoja wa tofali
Ili kuweza kujua idadi ya tofali zikakazoweza kujenga kozi moja ya tofali, chukua jibu ulilopata katika hatua ya kwanza kisha gawanya na urefu wa tofali moja ambao ni 0.45m
Idadi ya tofali kwa kila kozi, N = L÷0.450
N = 12m/0.45m
N = 26.6 = 27
Kila kozi (mstari) zitatumika tofali 27
3. Tafuta jumla ya tofali zote zitakazohitajika kujenga nyumba nzima.
Hapa sasa utaamua ujenge kozi ngapi, lakini kwa kawaida katika msingi watu wengi hupendelea kujenga kozi 8 mpaka 10 au na zaidi inategemea na eneo lilivyo au ramani yako ilivyo (sisi tutatumia kozi 8) na katika kuta za juu, watu wengi hupendelea kujenga kozi 12 mpaka 14 (sisi tutatumia kozi 12)
Jumla ya kozi zote itakuwa
Kozi 8 za msingi + Kozi 12 za kuta za juu = kozi 20
Jumla ya tofali zote, No. = kozi 20 × tofali 27
No. = tofali 540
4. Toa tofali za Madirisha na Milango
Hapa itabidi utafute eneo (surface area) la madirsha na milango
Jumla ya eneo la madirisha = 1.2m × 1.0m ×2 = 2.4m²
Jumla ya eneo la milango = 2.4m × 0.9m = 2.16m²
Jumla ya eneo lote = 4.56m²
Eneo la tofali moja likiwa limesimamishwa = 0.45m × 0.23m = 0.1035m²
Idadi ya tofali za kutoa katika madirsha na milango = 4.56m²/0.1035m² = 44
JUMLA YA TOFALI ZOTE, N = 540 - 44 = 496
Imeandikwa na Njuka II
Kwa hesabu mbali mbali zinazohusu ujenzi, tuwasiliane
ebusiness.excel@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu vp kuhusu ukadiriaji wa bati?
haya banaHabari,
Leo nimeona niwaelimishe ndugu zangu namna ya kujua idadi ya tofali zinazohitajika katika ujenzi wa nyumba.
Katika somo hili, tutatumia ramani ya chumba kidogo cha mita 3 kwa mita 3, chenye madirisha mawili (urefu mita 1.2, upana mita 1) na mlango mmoja (urefu mita 2.4, upana mita 0.9)
Kawaida vipimo vya tofali ni 0.450m urefu, 0.230m upana na 0.120/0.125/0.150m unene.
HATUA ZA UKADIRIAJI
1. Tafuta jumla ya urefu wa kuta zako ( Total Length of the wall)
Tukitumia mfano wa chumba chetu hapo juu, jumla ya urefu wa kuta zote (L) utakuwa
L= 3m+3m+3m+3m
L= 12m
2. Tafuta idadi ya tofali zitakazoweza kujenga mstari (kozi) mmoja wa tofali
Ili kuweza kujua idadi ya tofali zikakazoweza kujenga kozi moja ya tofali, chukua jibu ulilopata katika hatua ya kwanza kisha gawanya na urefu wa tofali moja ambao ni 0.45m
Idadi ya tofali kwa kila kozi, N = L÷0.450
N = 12m/0.45m
N = 26.6 = 27
Kila kozi (mstari) zitatumika tofali 27
3. Tafuta jumla ya tofali zote zitakazohitajika kujenga nyumba nzima.
Hapa sasa utaamua ujenge kozi ngapi, lakini kwa kawaida katika msingi watu wengi hupendelea kujenga kozi 8 mpaka 10 au na zaidi inategemea na eneo lilivyo au ramani yako ilivyo (sisi tutatumia kozi 8) na katika kuta za juu, watu wengi hupendelea kujenga kozi 12 mpaka 14 (sisi tutatumia kozi 12)
Jumla ya kozi zote itakuwa
Kozi 8 za msingi + Kozi 12 za kuta za juu = kozi 20
Jumla ya tofali zote, No. = kozi 20 × tofali 27
No. = tofali 540
4. Toa tofali za Madirisha na Milango
Hapa itabidi utafute eneo (surface area) la madirsha na milango
Jumla ya eneo la madirisha = 1.2m × 1.0m ×2 = 2.4m²
Jumla ya eneo la milango = 2.4m × 0.9m = 2.16m²
Jumla ya eneo lote = 4.56m²
Eneo la tofali moja likiwa limesimamishwa = 0.45m × 0.23m = 0.1035m²
Idadi ya tofali za kutoa katika madirsha na milango = 4.56m²/0.1035m² = 44
JUMLA YA TOFALI ZOTE, N = 540 - 44 = 496
Imeandikwa na Njuka II
Kwa hesabu mbali mbali zinazohusu ujenzi, tuwasiliane
ebusiness.excel@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kishingo upande mzee baba...?haya bana
Na ndo maana QS wanapiga hela kwa vile wapo wanaoona hii ni kazi kubwa.Yah it makes sense japo sasa tiresome kwa nyumba kubwa yenye vipatition vingi
Hizo tofali unazipanga hivi hivi bila Mortar??Habari,
Leo nimeona niwaelimishe ndugu zangu namna ya kujua idadi ya tofali zinazohitajika katika ujenzi wa nyumba.
Katika somo hili, tutatumia ramani ya chumba kidogo cha mita 3 kwa mita 3, chenye madirisha mawili (urefu mita 1.2, upana mita 1) na mlango mmoja (urefu mita 2.4, upana mita 0.9)
Kawaida vipimo vya tofali ni 0.450m urefu, 0.230m upana na 0.120/0.125/0.150m unene.
HATUA ZA UKADIRIAJI
1. Tafuta jumla ya urefu wa kuta zako ( Total Length of the wall)
Tukitumia mfano wa chumba chetu hapo juu, jumla ya urefu wa kuta zote (L) utakuwa
L= 3m+3m+3m+3m
L= 12m
2. Tafuta idadi ya tofali zitakazoweza kujenga mstari (kozi) mmoja wa tofali
Ili kuweza kujua idadi ya tofali zikakazoweza kujenga kozi moja ya tofali, chukua jibu ulilopata katika hatua ya kwanza kisha gawanya na urefu wa tofali moja ambao ni 0.45m
Idadi ya tofali kwa kila kozi, N = L÷0.450
N = 12m/0.45m
N = 26.6 = 27
Kila kozi (mstari) zitatumika tofali 27
3. Tafuta jumla ya tofali zote zitakazohitajika kujenga nyumba nzima.
Hapa sasa utaamua ujenge kozi ngapi, lakini kwa kawaida katika msingi watu wengi hupendelea kujenga kozi 8 mpaka 10 au na zaidi inategemea na eneo lilivyo au ramani yako ilivyo (sisi tutatumia kozi 8) na katika kuta za juu, watu wengi hupendelea kujenga kozi 12 mpaka 14 (sisi tutatumia kozi 12)
Jumla ya kozi zote itakuwa
Kozi 8 za msingi + Kozi 12 za kuta za juu = kozi 20
Jumla ya tofali zote, No. = kozi 20 × tofali 27
No. = tofali 540
4. Toa tofali za Madirisha na Milango
Hapa itabidi utafute eneo (surface area) la madirsha na milango
Jumla ya eneo la madirisha = 1.2m × 1.0m ×2 = 2.4m²
Jumla ya eneo la milango = 2.4m × 0.9m = 2.16m²
Jumla ya eneo lote = 4.56m²
Eneo la tofali moja likiwa limesimamishwa = 0.45m × 0.23m = 0.1035m²
Idadi ya tofali za kutoa katika madirsha na milango = 4.56m²/0.1035m² = 44
JUMLA YA TOFALI ZOTE, N = 540 - 44 = 496
Imeandikwa na Njuka II
Kwa hesabu mbali mbali zinazohusu ujenzi, tuwasiliane
ebusiness.excel@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app