Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei ndogo zaidi ya data.
Israel ndio nchi ambayo kifurushi cha internet huuzwa kwa Bei ndogo kuzidi nchi zote, Nchini Israel 1GB huuzwa kwa shilingi za kitanzania 150/= au chini ya 150
Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei kubwa ya data.
Guinea Equitorial ndio nchi ambayo kifurushi cha internet huuzwa kwa Bei kubwa kuzidi nchi zote, Nchini Equatorial Guinea 1GB huuzwa kwa shilingi za kitanzania 115,000/= na zaidi
Israel ndio nchi ambayo kifurushi cha internet huuzwa kwa Bei ndogo kuzidi nchi zote, Nchini Israel 1GB huuzwa kwa shilingi za kitanzania 150/= au chini ya 150
Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei kubwa ya data.
Guinea Equitorial ndio nchi ambayo kifurushi cha internet huuzwa kwa Bei kubwa kuzidi nchi zote, Nchini Equatorial Guinea 1GB huuzwa kwa shilingi za kitanzania 115,000/= na zaidi