Fahamu njia watumiazo wadada kupata wachumba JF baada ya tangazo

Fahamu njia watumiazo wadada kupata wachumba JF baada ya tangazo

Hivi kumbe huwa wako serious? Mie najuaga ni changamsha genge tu.
 
Hasira + kuomba papuchi vinaweza kuniengua kwenye kinyang'anyiro not les than 5 min. Yaan mdada nitume sms zipite do 2 hajajib, huyo tumeshapishana tyr
 
Nawasalimu toka Kijiji Cha Wishiteleja. Wilaya Kishapu, Mkoani Shinyanga.

Ngoja twende kwenye mada, maana staki kumchosha mtu hapa.

Sasa baada ya kuweka tangazo la kutafuta Mchumba, Mume nk. Maombi huingia kwa wingi sana. Mchakato wa kuchakata maombi huanza rasmi..

Kwanza zitajibiwa PM , ID zenye dalili za ' Usereouz '. Wale w waliotuma maombi kiutani utani huu ndio unakuwa mwisho wao.

Baada ya kupewa ushirikiano kwa baadhi ya ID, hatimae mchakato hupitisha watu15 kwenda hatua inayofata..

Umri, location . Dini . Kazi nk ndio vigezo vikuu.
Hawa15 nao hupewa ushirikiano sawa. Kwa kuwa lengo ni kumpata mmoja, basi 5 kati yao hukatwa rasmi. Na kufanya idadi kuwa10.

Hawa kumi nao hupewa ushirikiano sawa. Mchakato huwaengua wenye watoto. Vitambi. Wafupi nk. Na kufanya idadi kufikia5.

Sasa hawa5 huenda mbali zaidi na kupewa namba kwa mawasiliano zaidi. Sasa ukiona umepewa namba na mdada ' anayetafuta ' mchumba, basi tambua umeingia top5

Hapa Ujasusi huwa mkubwa zaidi. Kwani huangaliwa anayejali. Asiye na hasira. Sio Mlevi nk..
Tamaa za kuomba papuchi huwaponza wengi hapa, na kupelekea kuenguliwa kwa3. Na kufanya idadi kubaki 2.

Hawa wawili mmoja anaenda kuuvunja mfupa uliowashinda wengi..

Sasa iko hivi, kwa kuwa Mchezo mzima umeendeshwa Kijasusi. Hii itapelekea wale walioingia final kujihisi wanaChunguzwa pia. So mchezo unageuka kuchunguzana. Uhalisia unapoteza. Mchakato unakufa rasmi.

Mdada anarudi na title ' Bado natafuta ......'

Ushauri.
Haya matangazo ya kutafuta sio ya kushobokea wanangu. Tunakatwa km wagombea wa kile chama..

Usisubiri aweke tangazo. Anza leo kubonga nae.

Uzi unaofata- Najuta kulipia ' huduma ya fasta.. '





Nimemkataa Shetan na mambo yake yote..
Vipi wale waliokula Tunda kimasihara na commentz zao hawana nafasi,,?

[emoji121]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu toka Kijiji Cha Wishiteleja. Wilaya Kishapu, Mkoani Shinyanga.

Ngoja twende kwenye mada, maana staki kumchosha mtu hapa.

Sasa baada ya kuweka tangazo la kutafuta Mchumba, Mume nk. Maombi huingia kwa wingi sana. Mchakato wa kuchakata maombi huanza rasmi..

Kwanza zitajibiwa PM , ID zenye dalili za ' Usereouz '. Wale w waliotuma maombi kiutani utani huu ndio unakuwa mwisho wao.

Baada ya kupewa ushirikiano kwa baadhi ya ID, hatimae mchakato hupitisha watu15 kwenda hatua inayofata..

Umri, location . Dini . Kazi nk ndio vigezo vikuu.
Hawa15 nao hupewa ushirikiano sawa. Kwa kuwa lengo ni kumpata mmoja, basi 5 kati yao hukatwa rasmi. Na kufanya idadi kuwa10.

Hawa kumi nao hupewa ushirikiano sawa. Mchakato huwaengua wenye watoto. Vitambi. Wafupi nk. Na kufanya idadi kufikia5.

Sasa hawa5 huenda mbali zaidi na kupewa namba kwa mawasiliano zaidi. Sasa ukiona umepewa namba na mdada ' anayetafuta ' mchumba, basi tambua umeingia top5

Hapa Ujasusi huwa mkubwa zaidi. Kwani huangaliwa anayejali. Asiye na hasira. Sio Mlevi nk..
Tamaa za kuomba papuchi huwaponza wengi hapa, na kupelekea kuenguliwa kwa3. Na kufanya idadi kubaki 2.

Hawa wawili mmoja anaenda kuuvunja mfupa uliowashinda wengi..

Sasa iko hivi, kwa kuwa Mchezo mzima umeendeshwa Kijasusi. Hii itapelekea wale walioingia final kujihisi wanaChunguzwa pia. So mchezo unageuka kuchunguzana. Uhalisia unapoteza. Mchakato unakufa rasmi.

Mdada anarudi na title ' Bado natafuta ......'

Ushauri.
Haya matangazo ya kutafuta sio ya kushobokea wanangu. Tunakatwa km wagombea wa kile chama..

Usisubiri aweke tangazo. Anza leo kubonga nae.

Uzi unaofata- Najuta kulipia ' huduma ya fasta.. '





Nimemkataa Shetan na mambo yake yote..
Hiyo Ipo wazi.

Unapomfata mwanamke aloweka tangazo.. Bila shaka mtachujwaaaa lazima wabaki 2--5


Sasa nyie ndo mtachezeshwa sana tu..nakwasababu nahilo wanaume wanalijua...


Nyuzi za "Bado natafuta"......

Swali kubwa nikwamba, mwanamke akivutiwa amevutiwa... Pamoja na kupata mmoja, je atakubali kuwaacha wale wawili ambao pia aliwakubali???

NI IMANI TU
 
Hiyo Ipo wazi.

Unapomfata mwanamke aloweka tangazo.. Bila shaka mtachujwaaaa lazima wabaki 2--5


Sasa nyie ndo mtachezeshwa sana tu..nakwasababu nahilo wanaume wanalijua...


Nyuzi za "Bado natafuta"......

Swali kubwa nikwamba, mwanamke akivutiwa amevutiwa... Pamoja na kupata mmoja, je atakubali kuwaacha wale wawili ambao pia aliwakubali???

NI IMANI TU

Tatizo lao hawajui wanachotafuta..
 
Sijawahi kuamini Kama mtu unaweza pata mpenzi humu, Ngoja niendelee kujifunza
[emoji2][emoji2][emoji2]
Hahahaha nimeandika nikafuta! "he will come and knock, and knock anrd go on knocking, until you let him (her) in, then God help you" hii extract nimeitoa kwenye Novel inaitwa BLOOD AND FLESH. Huyo "he" inamuwakilisha shetani! Kama shetani wako she unaweza Ku -replace accordingly
 
Vipi wale waliokula Tunda kimasihara na commentz zao hawana nafasi,,?

[emoji121]

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂

Ukiingia kwenye kinyang'anyiro na uliwai kujimwambafy kula tunda kimasihara basi kaa ukijua siku zako zinahesabiki..

Wanatabia ya kusoma kila kitu ulichowai kuandika jamvini..

Yani hawa viumbe banaa..
 
Utatongoza leo anakataaa ...ukitongoza mwenzake /rafiki anakasirika
 
Back
Top Bottom