Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
- Thread starter
- #21
Utapata nuksi tu Mambo yako hayaendi kumbe chanzo ni weweVipi na wale wanaokula tunda kimasihara juu ya makabul ya mwenzao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata nuksi tu Mambo yako hayaendi kumbe chanzo ni weweVipi na wale wanaokula tunda kimasihara juu ya makabul ya mwenzao
bc hatar hiiUtapata nuksi tu Mambo yako hayaendi kumbe chanzo ni wewe
Hawa huwaga wanjizima data shetani akiwazidi nguvu lakini matokeo wanayaona!Wazee wa kula kimasihara.... popote kambi..hawatakuelewa
Ni choo hicho majini yapo humo ikitokea umeanguka usipokufa basi utapooza mwili au utapata madhara mengine!Naomba ufafanuzi kwa tunazotumia master bedroom, yaani chumba Cha kulala na choo ndani humohumo hii ikoje?
Shetani umeelaaniwa so huwezi kupona poleTutapataje kupona?
Ni kweli kwenu ila mie sipendagi unafanyaje sex bafunichoo nijenge mwenyewe halafu uniambie kinamilikiwa na jini, mbususu za chooni nshakula sana hata kwenye vyoo vya kumbi za starehe na sherehe na nafanikiwa kama kawaida sina mkosi wowote, jini mwenyewe akijichanganya nakula si kaleta mwenyewe...Uwoga wako umaskini wako.
Ukimuamini Mungu anatoshaWahenga wa eneo hili mliopo hapa karne na karne, I beg you and wish to do so have this as a gift and let me continue doing my so so) pour under tree avail nearby /but you can pray and command in Jesus name all (uptoyou) decision matters!
Hakika!Ukimuamini Mungu anatosha
Maisha ni kumtegemea MunguHakika!
kuna mke wa mtu ananisumbua sana nime mblock namba nying sana bado anaendelea kunitafuta .Point kubwa sana hii atakaye sikia na asikie[emoji122]
Bibi yanngu na wanae wamekuwa waking'arisha meno yao kwa mkaa kwa miaka sasa sijaona wakikutana na adha yoyoteUsipende kuacha vyakula wazi usiku halafu asubuhi una mpango wa kukila tena si vizuri kiusalama kula vyakula vinavyolala wazi usiku kucha ,sababu wachawi wana kawaida wanapoingia katika nyumba ya mtu na kumaliza kufanya yao wanatia sumu za kichawi katika vyakula vinavyolala wazi.
Mambo muhimu yakuzingatia usipige mswaki kwa mkaa, usiokote shanga cheni, hirizi wala kitu chochote usichokifahamu na kukitumia. Ukimaliza kufanya mapenzi jisafishe hata kama ni gest.
Usichukue mke wala mume wa mtu, kile kiasi au raha unayoipata umedhulumu haki ya mwenzio Mungu huanza kukunyoosha hapahapa ikiwa hujafanya toba.
Achana nae atakuletea matatizokuna mke wa mtu ananisumbua sana nime mblock namba nying sana bado anaendelea kunitafuta .
jikoni je ? sebuleni je ? kama una mifugo ,kwenye mifugo je huku inawaona ? kwenye maji je ?raha ya mbususu ni popote.Ni kweli kwenu ila mie sipendagi unafanyaje sex bafuni
Tusipoujali wokovu kwa namna hii?Tutapataje kupona?
Woi huo ni ushambajikoni je ? sebuleni je ? kama una mifugo ,kwenye mifugo je huku inawaona ? kwenye maji je ?raha ya mbususu ni popote.
True tena niliitumia mkaa nikapata mafunzo yamwaka mzimanje ya nchiBibi yanngu na wanae wamekuwa waking'arisha meno yao kwa mkaa kwa miaka sasa sijaona wakikutana na adha yoyote