Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hizi ndo nyimbo kali balaa ukumuimbia mupenzi wako lazima alainike hata kama kachukia vipi , twende sasa tuimbe kwa pamoja
Mabata madogo dogo yanaogelea yanaogelea katika shamba zuri la bostani
Yanapenda kulia kwa kwa kwa kwakwa ,kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa
Yanapenda kutembea bila viatu bilaaaa ,bila viatu bilaaaaa katika shamba zuri la bustani[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji444] [emoji444]
Nyingine hii
Najua kuhesabu namba ,moja mbili tatu , nne tano sita saba nane tisa kumi
Vidole vya mikono yangu jumla yake kumi huku tano na huku tano jumla yake kumi[emoji446] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji442]
Ester hallow there I say come here
Look at the motor car ........[emoji446] [emoji446] [emoji445] [emoji443] [emoji445] hapa kama alikuwa anataka kuondoka lazima atarudi tu kwa bashasha tele na utapokea busu la nguvu la shavu
Nyingine ndo hii
If you are happy and now clap ur hands[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
If ur happy and now clap ur hands [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
If ur happy and now I really want u to show ........
Nikianza na mimi hii nyimbo iende kwa mke wangu shunista au shunie nampenda sana
Na wewe je taja nyimbo zako tumfikishie mama/baba chanja wako
Mabata madogo dogo yanaogelea yanaogelea katika shamba zuri la bostani
Yanapenda kulia kwa kwa kwa kwakwa ,kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa
Yanapenda kutembea bila viatu bilaaaa ,bila viatu bilaaaaa katika shamba zuri la bustani[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji444] [emoji444]
Nyingine hii
Najua kuhesabu namba ,moja mbili tatu , nne tano sita saba nane tisa kumi
Vidole vya mikono yangu jumla yake kumi huku tano na huku tano jumla yake kumi[emoji446] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji442]
Ester hallow there I say come here
Look at the motor car ........[emoji446] [emoji446] [emoji445] [emoji443] [emoji445] hapa kama alikuwa anataka kuondoka lazima atarudi tu kwa bashasha tele na utapokea busu la nguvu la shavu
Nyingine ndo hii
If you are happy and now clap ur hands[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
If ur happy and now clap ur hands [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
If ur happy and now I really want u to show ........
Nikianza na mimi hii nyimbo iende kwa mke wangu shunista au shunie nampenda sana
Na wewe je taja nyimbo zako tumfikishie mama/baba chanja wako