Fahamu nyimbo kali sana za kumdectia mpenzi wako zitakazomfanya alainike hata kama ana hasira vipi

Fahamu nyimbo kali sana za kumdectia mpenzi wako zitakazomfanya alainike hata kama ana hasira vipi

Yaani kunawengine hawasikilizagi maneno ila wanapenda beat
 
If you are happy and you know it ni ya kutaka bonge la slap.
 
Hizi ndo nyimbo kali balaa ukumuimbia mupenzi wako lazima alainike hata kama kachukia vipi , twende sasa tuimbe kwa pamoja


Mabata madogo dogo yanaogelea yanaogelea katika shamba zuri la bostani
Yanapenda kulia kwa kwa kwa kwakwa ,kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa

Yanapenda kutembea bila viatu bilaaaa ,bila viatu bilaaaaa katika shamba zuri la bustani[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji444] [emoji444]



Nyingine hii

Najua kuhesabu namba ,moja mbili tatu , nne tano sita saba nane tisa kumi
Vidole vya mikono yangu jumla yake kumi huku tano na huku tano jumla yake kumi[emoji446] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji442]



Ester hallow there I say come here

Look at the motor car ........[emoji446] [emoji446] [emoji445] [emoji443] [emoji445] hapa kama alikuwa anataka kuondoka lazima atarudi tu kwa bashasha tele na utapokea busu la nguvu la shavu



Nyingine ndo hii

If you are happy and now clap ur hands[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

If ur happy and now clap ur hands [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

If ur happy and now I really want u to show ........




Nikianza na mimi hii nyimbo iende kwa mke wangu shunista au shunie nampenda sana


Na wewe je taja nyimbo zako tumfikishie mama/baba chanja wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pengine umefika Muda muafaka kuongezwa na jukwaa mahsusi kwaajili ya Watoto.

Nawasilisha.
 
Ila tuacheni utani. Naona na nyie wenyewe mmeshangaa na kucheka, so hta wapenzi wenu watashangaa na kucheka pia. Nimependa ubunifu huu mdogo kuliko kufikiria nyimbo ngumu za kizungu ambazo unaweza kuimba ukakosea neno ukatamka tusi na akazidi kuchukia...!! Halafu ss usiombe ukakuta wewe unakosea maneno, halafu yeye anayajua..!!! Hahahahahaha
 
Hizi ndo nyimbo kali balaa ukumuimbia mupenzi wako lazima alainike hata kama kachukia vipi , twende sasa tuimbe kwa pamoja


Mabata madogo dogo yanaogelea yanaogelea katika shamba zuri la bostani
Yanapenda kulia kwa kwa kwa kwakwa ,kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa

Yanapenda kutembea bila viatu bilaaaa ,bila viatu bilaaaaa katika shamba zuri la bustani[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji444] [emoji444]



Nyingine hii

Najua kuhesabu namba ,moja mbili tatu , nne tano sita saba nane tisa kumi
Vidole vya mikono yangu jumla yake kumi huku tano na huku tano jumla yake kumi[emoji446] [emoji445] [emoji445] [emoji443] [emoji442]



Ester hallow there I say come here

Look at the motor car ........[emoji446] [emoji446] [emoji445] [emoji443] [emoji445] hapa kama alikuwa anataka kuondoka lazima atarudi tu kwa bashasha tele na utapokea busu la nguvu la shavu



Nyingine ndo hii

If you are happy and now clap ur hands[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

If ur happy and now clap ur hands [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

If ur happy and now I really want u to show ........




Nikianza na mimi hii nyimbo iende kwa mke wangu shunista au shunie nampenda sana


Na wewe je taja nyimbo zako tumfikishie mama/baba chanja wako
Hivi na wewe unajiita "The great thinker"?? Ama kweli JF imevamiwa na wavaa milegezo.
 
Hivi na wewe unajiita "The great thinker"?? Ama kweli JF imevamiwa na wavaa milegezo.
Mkuu siku zote great thinker huwa anafikiri tofauti kuliko mtu mwingine ukiona unafikiri jambo ambalo wengi wanafikiri hivyo hivyo jua wazi kuwa wewe sio great thinker
 
Back
Top Bottom