Fahamu tiba halisi ya punyeto/kujichua.

JOEkizyi

New Member
Joined
Sep 11, 2022
Posts
3
Reaction score
33
JE,unajua kuwa tiba pekee ya kuacha punyeto ni ulaji wa vitungu saumu na maji.
Matokeo yake ni pamoja na kuratibu ubong hasa homoni ya testeron iliyo kiwango cha juu has wanaongalia picha za x na kujichua pia maji hufanya njia ya mkojo isiwe kavu.
 
Kaka umegusa career za watu.
Kwahyo vitunguu na maji vinaua Hy tabia. Ngoja waje MageneralšŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…