Fahamu usiyoyajua kuhusu Imei namba ya simu yako

Fahamu usiyoyajua kuhusu Imei namba ya simu yako

NI sawa, sikatai ila walichofanya ni kwamba wamekubadilishia chip wakakuwekea chip yenye IMEI namba nyingine, hujabadilisha IMEI. IMEI ni copyright ya manufacturer. Still, hata yeye akitaka kuibadilisha, habadilishi namba anabadilisha chip. Mimi naamini kuwa IMEI hata manufacturer hawezi kuibadilisha, japo sina uhakika sana
Wanaweza tumia imei ya simu ya kitochi kwenye techo P1 smartphone kwa kutumia software tu, tena haya masimu mengine huna hata haja ya software ni code fulani ukiweka inakupa option ya editing.
 
Inategemea, mimi mbona niliibiwa simu mtongani, baada ya wiki niliipatia sinza, tena kwa kui track mwenyewe tu!! Nili fungua jarada kilwa road polisi, mlolongo ukawa mrefu!! Nikaingia front mwenyewe tu!! Nikafanikiwa kumkamata mwizi wangu!!!
NAOMBA MAELEKEZO KAMA HAUTAKUWA MCHOYO SIMU YANGU NIMEIBIWA TAREHE 10/02/2020 NIKARIPOTI TAREHE 11/02/2020 MPAKA SASA SIJAIPATA KILA NIKIPIGA SIMU POLISI WANASEMA BADO WANAFUATILIA KIGOMA, DODOMA, MWANZA WOTE JIBU LAO MOJA NIFANYEJE? NI SUMSUNG GALAXY A20
 
Wanaweza tumia imei ya simu ya kitochi kwenye techo P1 smartphone kwa kutumia software tu, tena haya masimu mengine huna hata haja ya software ni code fulani ukiweka inakupa option ya editing.
Sikujua hilo. Mimi nilijua IMEI iko kama MAC ya kwenye PC au Laptop
 
NAOMBA MAELEKEZO KAMA HAUTAKUWA MCHOYO SIMU YANGU NIMEIBIWA TAREHE 10/02/2020 NIKARIPOTI TAREHE 11/02/2020 MPAKA SASA SIJAIPATA KILA NIKIPIGA SIMU POLISI WANASEMA BADO WANAFUATILIA KIGOMA, DODOMA, MWANZA WOTE JIBU LAO MOJA NIFANYEJE? NI SUMSUNG GALAXY A20
Hapo lazima uwe mpole tu, kwani hiyo app inatakiwa iwekwe kabla simu haijapotea ndio utaweza kui track!! Kuna jamaa ndio alinitumia hiyo app, na ni miaka mingi kidogo, hata jina nilishaisahau!!
 
mbali na jina la app je kama ataiflash au ku i hard reset still hiyo app bado itabaki
Ni muda mrefu kidogo umepita!! Kuna mtu ndio alinitumia hiyo, nikaweka, kwajina silikumbuki, ila lazima simu iwe rooted!! Toka nihame android sikuwa na uhitaji nayo tena,
 
Back
Top Bottom