Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Mna mpango gani kwa sehemu zingine kutanua masoko ,maana hiyo ardhi ya Njombe kununua ni sawa!Ikiisha je?Thanks mkuu @ casanova69 kwa swali lako. Kwa Sasa Soko lipo vizuri kutokana na mipaka ya nchi mbalimbali kufunguliwa kibiashara. Zile kampuni za nchi jirani hawakuzuiliwa kufanya biashara mkoa wa Njombe ila tatizo lilikuwa kwa wao kutaka kufanya ujanja ujanja wasilipe kodi. Mkoa wa jirani hapo Mbeya tu, kampuni hizo za nchi jirani zililipa kodi na kufanya biashara stahiki ya kusafirisha parachichi nje ya nchi.
Mkuu tuwasiliane 0692811234Habari janvini
Kama Bado hujasajiri kampuni.
Karibu ntakusajiria kwa chapu. Bei nzuri kabisa.
Pia huduma ya
- kuandaa mahesabu ya kodi
-mchanganuo wa Biashara
- kusaidia kupata leseni ya biashara
Ushauri bure
Karibuni nyote
View attachment 1596079
Hiyo mikoa mingine mna mpango gani mkuu?!Mkuu@ chinembe. Bei ya laki moja na nusu ni ya kununua Shamba moja kwa moja. Kwa Sasa tunafanyakazi katika mkoa wa Njombe. Kuhusu mkoa wa Kagera sisi Agriworth Tanzania hatujaanza kutoa Huduma ya zao la parachichi. Pia aina ya parachichi ambayo ina soko la uhakika ndani na nje ya nchi Ni HASS. Karibu katika uwekezaji
Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.
Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.
Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.
Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda
Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni
Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja
HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa
JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'
- Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
- Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
- Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
- Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
- Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
- Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche
SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu
MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini
Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.
Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani
KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
Bei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
Msalimie Mr.Lugenge mkuu hapo mfiriga.Habari yako mkuu @ nra2303. Kwa mkoa wa Morogoro kampuni yetu haifanyikazi kwa Sasa kwa maana ya usimamizi na ununuzi wa zao la parachichi. Tunafanyakazi mpakani mwa mkoa wa Njombe na Morogoro kwenye tarafa ya Lupembe, kata ya mfriga na Kijiji Cha Madeke. Hayo ni maeneo ambayo mpaka Sasa shughuli za kilimo Cha parachichi aina ya HASS inaendelea.
Nikweli...Kweli parachichi ni zao linalo ibukia kuweza kutajirisha wakulima.
Lakini sisi tulio jitosa huko hofu yetu pekee ni maamuzi ya serikali huko mbeleni.
Tumeona mifano ya mazao ya korosho na kahawa.
Ukisha sikia serikali ina sema zao fulani ni zao la mkakati, omba Mungu hiyo mikakati isiathiri bei na kuharibu mfumo ulio anza kujejinga wenyewe.
Wafanya maamuzi angalieni. Watu tunawekeza huku vya kutosha halafu kesho mnafanya maamuzi yanayopelekea au bei kushuka au wanunuzi kupotea.
Hatuna cha kuwafanya lakini tutasononeka.
ThanksHabari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.
Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.
Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.
Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda
Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni
Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja
HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa
JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'
- Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
- Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
- Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
- Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
- Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
- Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche
SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu
MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini
Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.
Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani
KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
Bei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
Jiunge na UWAMARU AMCOS ambayo ni Ushirika wa Wakulima wa Maparachichi Rungwe hawa wamepata mnunuzi ambaye ni Avo Africa wapo Makambako wana kiwanda cha mafuta na pia wanasafirisha nje ya nchi. Kwa maelezo zaidi njoo dmAgriworth nimelima kama ekari 8 Rungwe ambazo nimezipanda mwaka huu, January hii, je mnakuja kununua matunda huku pia!? Yatakapokomaa!?
insha'Allah...Pale mkundi Morogoro nna viekari vyangu.vyangu.
Ngoja niweke miche ya Matunda
Baada ya miaka mitano mbele
Mitano tena
Miaka mitano
Tuseme Isha Allah
Hili binafsi sidhani kama litatokea. Nalima avocado pia ila sidhani kama mambo yalotokea kwenye Kahawa na Korosho yatajirudia huku...nadhani haitatokea maana ni mwaka zaidi ya wa 10 sasa market trends za Hass avocado hazijateteleka sana...sanasana bei imepanda zaidi wakulima wanafaidi.Kweli parachichi ni zao linalo ibukia kuweza kutajirisha wakulima.
Lakini sisi tulio jitosa huko hofu yetu pekee ni maamuzi ya serikali huko mbeleni.
Tumeona mifano ya mazao ya korosho na kahawa.
Ukisha sikia serikali ina sema zao fulani ni zao la mkakati, omba Mungu hiyo mikakati isiathiri bei na kuharibu mfumo ulio anza kujejinga wenyewe.
Wafanya maamuzi angalieni. Watu tunawekeza huku vya kutosha halafu kesho mnafanya maamuzi yanayopelekea au bei kushuka au wanunuzi kupotea.
Hatuna cha kuwafanya lakini tutasononeka.
Jidanganye; china imefanya majaribio ya hass na ikafanya vizuri hivyo wameamua kulima mahekari lukuki a, vayo inasemekana in time zitaathiri soko la wakulima wa AfricaHili binafsi sidhani kama litatokea. Nalima avocado pia ila sidhani kama mambo yalotokea kwenye Kahawa na Korosho yatajirudia huku...nadhani haitatokea maana ni mwaka zaidi ya wa 10 sasa market trends za Hass avocado hazijateteleka sana...sanasana bei imepanda zaidi wakulima wanafaidi.
Nachukizwa sana na dhuluma inayofanywa kwa wakulima mkoani NjombeHabari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.
Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.
Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.
Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda
Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni
Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja
HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa
JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'
- Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
- Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
- Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
- Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
- Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
- Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche
SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu
MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini
Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.
Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani
KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
Bei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
Tuchape Kazi Ndugu ZanguVipi kwa morogoro mlifanya utafiti kuona Hilo zao linakubali? Na ni maeneo yapi hasa?
Msemakweli Ni Mpenzi Wa MunguJidanganye; china imefanya majaribio ya hass na ikafanya vizuri hivyo wameamua kulima mahekari lukuki a, vayo inasemekana in time zitaathiri soko la wakulima wa Africa
Yule MzilankendeMagufuli aliharibu soko LA parachichi.
Nachukizwa sana na dhuluma inayofanywa kwa wakulima mkoani Njombe
Shida iko hiviiiii
Kuna makampuni sijui mashirika mengiii yamejitokeza kama uyoga.... kikubwa wanachofanya vikundi hivi sijui mashirika hayo ni kuwadanganya wakulima kuwaibia pasipo wao kujua
Semina nyiiingi mwisho wa semina mnauziwa sijui mbolea (mtaambiwa imetoka Marekani- mmarekanj analima parachichi wapi kama sio kuwadanganya wakulima!)