Fahamu utajiri wa kudumu uliojificha kwenye zao la Parachichi Mkoani Njombe

Umetoa mada nzuri ushauli tuu hiyo space mlioweka ni ndogo mno miti itashonana na kushindwa kuzaa vzr parachichi ni mti mkubwa 10m*10m au iwe 10m*8m angalau kidogo.
 
Umetoa mada nzuri ushauli tuu hiyo space mlioweka ni ndogo mno miti itashonana na kushindwa kuzaa vzr parachichi ni mti mkubwa 10m*10m au iwe 10m*8m angalau kidogo.
Kuna sehemu tumepanda Parachichi mita 8 kwa nane. Hilo eneo Lina udongo wa mfinyanzi kuanzia Tabaka la pili hivyo mategemeo ni Miti haitakuwa na uwezo wa kutanuka SANA.
 
SIJUI KWA NJOMBE, ILA KWA TUKUYU WANANUNUA KILA KITU KWA MKATABA, KUNA USHINDANI.

Ninyi ndio mlipashwa kuwatetea wakulima hawa sio kuwauzia watu maeneo na kuwapa sijui elekezi la zao la parachichi....[/QUOTE]

(Ni vizuri kama wakulima wakiwa kwenye umoja wa Ushirika wanaweza kujadiliana Bei na kutafuta elimu zaidi).

Waziri husika anapashwa kufuatilia Kilimo mikoa mikuu inayozalisha mazao ya chakula na biashara.....[/QUOTE]
[/QUOTE]
Sijakuelewa ujue
 
Mkuu nisaidie mawasiliano please
 
ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

[emoji3513] #0658357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora

[emoji625] [emoji593] Tunafanya Delivery Nchi Nzima
 
Tupeni mrejesho wazee wa parachichi, hali ikoje? Kwa kila ekari moja mmepata kilo ngapi za parachichi?
 
Mwishoni mwa Mwezi february maeneo ya mbwewe kuna semi ya kenya ilichochora huezi amini ile container 40FT ilikuwa imemanda parachichi zimepakiwa kwenye makasha hivi inaenda kenya.

Hakika ilinifikirisha sana.
 
Hii sio kweli, gharama za kutunza shamba mbona hujaweka? Nijuavyo parachichi linahitaji mbolea at least Mara mbili kwa mwaka, madawa ya ukungu wadudu etc. Pia zao linaitaji kumwagilia hawa kipindi cha kiangazi, kupalilia kama utataka.matokeo chanya.
Mkoani Njombe mvua ni nyingi hivyo huhitaji kumwagilia miche ya parachichi. Labda suala la mdawa ingawa mleta mada amelitolea ufafanuzi.
 
Mkoani Njombe mvua ni nyingi hivyo huhitaji kumwagilia miche ya parachichi. Labda suala la mdawa ingawa mleta mada amelitolea ufafanuzi.
Acha kudanganya mkuu, mvua njombe za vipindi, zikiisha kumwagilia ni muhimu lasivyo kila rangi utaiona. Tembelea mashamba ya parachichi njombe then utajua mengi siyo kusikia stori mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…