Document wanazohitaji ni:
1. Mkataba wa kuuzina chombo cha moto.
2. Nakala ya kitambulisho cha mpiga kura/Leseni ya udereva/Pasi ya kusafiria au kitambulisho cha Taifa. Nakala hiyo iwe imeambatishwa na pasipoti ndogo na kuwa certified na Wakili. Hii inahusu pande zote mbili (Mnunuzi na Mnunuaji).
3. Muuzaji anapaswa kulipa 1% ya kiasi alichouza chombo cha moto.
4. Mnunuzi atalipia gharama ya kuhamisha umiliki Bank kiasi cha 50,000/- (kama ni gari) kama kama ni pikipiki atalipa 27,000/-. Pia, mnunuzi a talipia 10,000/- Bank kama gharama ya kadi.
5. Polisi unalipia 5,000/- kwa magari madogo na 10,000/- kwa magari makubwa ikiwa ni gharama ya kukagua gari.
6. Kuwe na kiapo cha Umiliki.
7. Nambari ya Mlipakodi (TIN Number).