1987SANAWA
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 418
- 526
Umenifurahisha sana brother! Ila ni kwambie kitu kimoja expenses na liabilities ni ndugu, mfano:Ukichukua mkopo bank ni liability,unaporejesha inabidi uongezee na interest ambayo ni expense. Mf2:Bili ya maji ya Mwezi huu ni expense, ila Mwezi ujao Kama hatujailipia Itakuwa ni current liability. Namna ya kuzitofautisha inahtj utaalam kidogo.Na wewe unachanganya liability na EXPENSES.
nyie ndo mnazingua....kwani yeye kasema analeta maswala ya taaluma hapa....yeye hapa kaja kutuelewesha in a simple way sisi tusio na taaluma hyo tuelewe maana ya hayo maneno.........ndo mana definition zake zipo simple and clear.Kwenye bandiko lako kuu, ukubali umetoa tafsiri isiyo sahihi kitaaluma (uchumi na usimamizi fedha) ila inakidhi uelewa wa mtu wa kawaida kuhusu mapato na matumizi.
Kitaaluma maneno hayo yanatumika katika mizania ya kifedha (Balance Sheet) ambayo inatamka kwamba:
Assets = Equity + Liabilities
Assets ni mali yote, inayobadilika (current asset) km pesa taslimu, na isiyobadilika (fixed asset) km nyumba, ambayo anamiliki mtu/ kampuni nk. Mali hii imepatika aidha kutokana na mtaji (equity) ya mmiliki au madeni (liabilities).
Hivyo utajiri (networthness) wa mtu ni mali aliyokuwa nayo na siyo biashara anayoifanya yenye faida au kuwa na ukwasi wa kifedha.
Kitu kinacho nifanyaga nisibishane na wasomi(uchumi na wengineo) ni kama Ulichoandika.
Yani wasomi wote wanakuaga na hoja na definition zinazofanana utafikiri mapacha. Yani najua kabisaa mawazo ya wasomi yalivyo ndani ya box yamewekwa mipaka yakutofikiri nje walichokaririshwa darasani.
Majibu ya wasomi huwa yanafanana Tanzania nzima. THINK OUT OF BOX.
Yuko sahihi all expenses are liability