Fahamu utofauti wa Asset na Liability

Fahamu utofauti wa Asset na Liability

Na wewe unachanganya liability na EXPENSES.
Umenifurahisha sana brother! Ila ni kwambie kitu kimoja expenses na liabilities ni ndugu, mfano:Ukichukua mkopo bank ni liability,unaporejesha inabidi uongezee na interest ambayo ni expense. Mf2:Bili ya maji ya Mwezi huu ni expense, ila Mwezi ujao Kama hatujailipia Itakuwa ni current liability. Namna ya kuzitofautisha inahtj utaalam kidogo.
 
kasomo nimekapanda na ukweli ni kwamba kamenitouch....nimejifunza kitu pia......na nimegundua kwamba unaweza kuconvert any liability into asset....na ukiwa mjinga zaidi utajikuta unaibadili asset kuwa liability bila mwenyewe kujua au kwa maksudi.......m
 
Kwenye bandiko lako kuu, ukubali umetoa tafsiri isiyo sahihi kitaaluma (uchumi na usimamizi fedha) ila inakidhi uelewa wa mtu wa kawaida kuhusu mapato na matumizi.

Kitaaluma maneno hayo yanatumika katika mizania ya kifedha (Balance Sheet) ambayo inatamka kwamba:
Assets = Equity + Liabilities
Assets ni mali yote, inayobadilika (current asset) km pesa taslimu, na isiyobadilika (fixed asset) km nyumba, ambayo anamiliki mtu/ kampuni nk. Mali hii imepatika aidha kutokana na mtaji (equity) ya mmiliki au madeni (liabilities).

Hivyo utajiri (networthness) wa mtu ni mali aliyokuwa nayo na siyo biashara anayoifanya yenye faida au kuwa na ukwasi wa kifedha.
nyie ndo mnazingua....kwani yeye kasema analeta maswala ya taaluma hapa....yeye hapa kaja kutuelewesha in a simple way sisi tusio na taaluma hyo tuelewe maana ya hayo maneno.........ndo mana definition zake zipo simple and clear.

Sasa wewe ndo umeanza hadi maplus mara ma minus sjui ya nini.......nayaelewa vp mtu kama mimi wa std seven......

Na umekili kabisa yupo sahihi bt sio definion za kitaaluma bt he is right at some point.....so what!!???
 
Mkuu wewe huna tofauti nami.
Na ndo maana hawa hawa wasomi wa uchumi na fedha wa Tz wengi ndo wanaishi maisha ya chini kuliko wasio soma mambo ya fedha.
Kitu kinacho nifanyaga nisibishane na wasomi(uchumi na wengineo) ni kama Ulichoandika.

Yani wasomi wote wanakuaga na hoja na definition zinazofanana utafikiri mapacha. Yani najua kabisaa mawazo ya wasomi yalivyo ndani ya box yamewekwa mipaka yakutofikiri nje walichokaririshwa darasani.

Majibu ya wasomi huwa yanafanana Tanzania nzima. THINK OUT OF BOX.
 
Back
Top Bottom