Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
K-Kesha
U-Ukimuomba
M-Mungu
A-Akusaidie
Wewe jamaa unastahili tuzoM- Mtu muhimu
K- Kila Mara
U- Unanifariji
N- Uafurahia
D- Daima nafurahi
U- Uwepo wako
JPM=.........??????
Karibu Kwenye KalamuKKK-Ku Klux Klan
Hahahah mkuu hiyo ukiimalizia mods watacharuka unaweza ukala BAN.WTF ?what the ****?
Alias Known AsA. K. A - Also Known As
MBOLA - Mdindio wa Bongo Lala Afrika.
Hahah!! Kumbe upoHKL- Hakuna Kuingia Laboratory
BOMA = British Overseas Military Administration ni ngome za Mwingereza alipokuwa akitawala. Watu wakatohoa kwenye hizo ofisi kukaitwa bomani.~PILSNER -People In Love Should Never Ever Regreat
~SAFARI - Sasa Angalia Gala Anaagiza Raundi Ingine
~BOMA - British Overseas Management Authority
~TOP - Trainef Operational Proficient
~LTD - Laleni Tuwabandike Deni
~ASA - Asaly Salitic Acid